Selfika na JF: Snap it. Show it

Nice
me nimekusamehe dyaa
 
Wala siwezi kujikweza humu, kwa kipi na ili iweje yaan? Hat siku 1 sijawahi na haitowahi tojea kumu hulkia m2 for nothing,.
Naishi maisha yangu, na kikubwa zaidi nipo very introvert, basi wao watu wa nje ndo wananifata mie,

Humu kuna m2 anajifanya yeye ni chizi, sasa mie kumbe ni kichaa zaidi yake, acha tuoneshane makali
Wengine kuweni wapoleeeeeh.
 
Asante
Wewe umenena vyema
 
Mie niko timamu ki akili na exposure kubwa, wanaonijua wanafahamu nikoje. Yaan nashukuru Mungu kaninyima vingine vyote, kanipa akili kubwa, ufahamu, uelewa na msimamo thabiti. Najivunia hilo.

Huwezi kuniyoosha mie, labda mie nikunyooshe wee.
Mkuu,
Binafsi wala sina shaka na akili kubwa Mungu aliyokupa, sina shaka kabisa. You're so exposed na dunia na ndio maana upo hapo ulipo, hoja yangu ni kuyaweka ya chumbani yabaki huko, zile picha mimi sikuzipenda na nilikuwa wa kwanza kukukrash. Hata kama umeamua kuwa shoga, basi sawa lakini usituonyeshe, tumekataa kuzitizama.

Hakuna atakayekupangia nini ufanye, ila content za kishoga tumekataa usipost humu. Mashoga humu wapo kibao, wezi, majambazi, malaya, wahuni..nk Ila tukae nayo huko.
 
Asante
Wewe umenena vyema
 
Hatukumjua kbla binamu..ata hvo hatumkatazi ila yabaki maisha yake binafs vitu kama hvo sio vya kushare public

Binamu tuachane na hzo habari bhna unarudi lini

Sawa binamu, ngoja itokee fursa nije, lakini hata wewe unaweza kuja nitembelea banah kwani huku hakuna swimming pool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…