Tarhe15 tu nilifika mwanza binamu ila sikukaa sana nimerudi jana Arusha ilikua ni trip ya kikaziBinamu uvumilivu umenishinda wallah achana na habari ya mashoga kila mtu atavuna alicho kipanda
Ebu niambie kwanza trh 15 ilikuwaje...
Kwa hyo binamu unataka kuniambia hatuendi tenaTarhe15 tu nilifika mwanza binamu ila sikukaa sana nimerudi jana Arusha ilikua ni trip ya kikazi
Haya tuonyeshe tulipojihesabia hakiMsijihesabia haki na mkajiona hamna mapungufu mbele za Mungu baba, kila mmoja wetu hapa ni wadhambi na msisahau hakunaga dhambi ndogo wala kubwa zote ni dhambi kumu ipo pale pale, sasa msinyoshe vidole kwa mwenzenu wakati na nyie ni wachafu vile vile ni wadhambi vile vile, Mungu sio kama binadamu yeye ni mwingi wa rehema na anazitambua njia zetu kuliko sisi wenyewe, msihukumu kabla hujakumiwa. Kile kibanzi cha mwenzako jichoni..... Anza kusafisha jicho lako kwanza ili uone ya mwenzako vizuri..
Huwezi kumpangia mtu pa kuanza kukemea.Siungi mkono na wala sioni umuhimu wa kutumia nguvu nyingi sana kupiga katazo, hivi kuna asiejua kuwa ushoga ni dhambi na madhara yake yote, mimi nashauri njia ingine zaidi ya kupambana na hili muanze kwenye family zenu sasa mkipiga kelele kwa mijitu mizima huku si kutwanga maji kwenye kinu
Uzi hauwezi kufutwa huu.Acheni kulea mashoga katika uzi huu. Shoga linajishaua humu mpaka na picha za mabasha yake linaweka nyie mpo mnachekelea tu. Hata ufutwe tu ni sawa. Hamkitakii mema kizazi hiki! You condone faggotism?
Kama kawaida kichumi hua ni kisafi
Ndiyo tumepishana hivyo hata masamaki sikuinjoi kivile mambo ya haraka harakaKwa hyo binamu unataka kuniambia hatuendi tena
Hebu wahi mlimani city chukua chochote ukitakacho mie nakuja kulipa.Wewe sio wa kwanza na hizi kampeni walikua viongozi na mataifa kupinga ushoga lakini wakaangukia pua, papa mwenyewe anaunga uhuru wa watu kuchagua wanachokipenda, kwanza mpaka mtu awe shoga huyo mtu kashafanya tafakari sana na madhara anazijua unakuta ameshafanya maamuzi, sasa usije na hoja nyepesi uzi huu unapendekeza ufutwe, kuna watu wanajiona wakiingia jf bila kupita hapa hawajafurahi sasa kero ya mmoja usichukulie ni ha majorit , mbona kila uzi humu jf wapo,
Cha msingi ni kuboresha malezi yani hili jambo la ushoga lianzie kwenye ngazi ya familia, wazazi mpo busy mnawasahu kuwa na malezi bora ya watoto wenu katika umri wa udogo kabisa, sasa unakuja kumshauri mtu mzima wote mwenye akili zake timamu
Wallah nimetoa machozi ya furaha, hakika wee ni mtu bora sana.Msijihesabia haki na mkajiona hamna mapungufu mbele za Mungu baba, kila mmoja wetu hapa ni wadhambi na msisahau hakunaga dhambi ndogo wala kubwa zote ni dhambi kumu ipo pale pale, sasa msinyoshe vidole kwa mwenzenu wakati na nyie ni wachafu vile vile ni wadhambi vile vile, Mungu sio kama binadamu yeye ni mwingi wa rehema na anazitambua njia zetu kuliko sisi wenyewe, msihukumu kabla hujakumiwa. Kile kibanzi cha mwenzako jichoni..... Anza kusafisha jicho lako kwanza ili uone ya mwenzako vizuri..
Usijali binamu next time ukija tutaenda kule kisiwa cha saa nane tukaendeshe botiNdiyo tumepishana hivyo hata masamaki sikuinjoi kivile mambo ya haraka haraka
Siungi mkono na wala sioni umuhimu wa kutumia nguvu nyingi sana kupiga katazo, hivi kuna asiejua kuwa ushoga ni dhambi na madhara yake yote, mimi nashauri njia ingine zaidi ya kupambana na hili muanze kwenye family zenu sasa mkipiga kelele kwa mijitu mizima huku si kutwanga maji kwenye kinu
Hakika umeongea point kubwa sana, km hujaeleweka hapa basi hawata elewa kamweeeh.Wewe kumjaji mtu wewe ni nani Anne mdogo wangu, soma kwa umakini sana nilichoandika, hebu niambie na uonyeshe kwa vidole ni nani humu amefurahia ushoga humu ndani au kuchekea ushoga haijawahi tokea ila ni kila mtu na maisha yake watu uja humu kufurahi kuwasiliana na marafiki na kutoka, na kama mtu anataka kuwa shoga ni kwa hiari yake na nyie hamuwezi kuwa wakwanza kumkataza mpaka mtu kufikia hatua hiyo ni tayari kashakatzwa sana, sasa msilete hoja yenu kuwa uzi ufutwe kwa interest zenu siku zote ulikua wapi wewe au nawe umepatwa na kiherehere tu baada ya kuona ubanadamu kwanza kuanza kusema hivyo, majukwaa mangapi humu hao watu wamejaa mbona nyuzi hazifutwi, mjitasimini msijione wakamilifu sana ilihali mna mapungufu,
Nikaongeza kukuonyesha chimbuko ya ushiloga unatokea kwenye familia zetu kwani wewe huna familia mpaka uniambie familia yangu acha utoto, anza kulinda vizazi vyenu msijetuletea mashoga waliokua na uzoefu na kuwapa jamii tabu za kuzuia, halafu sio lazima ukabali michango yangu wapo wanaoikubali na nasimamia pale napoona pako sawa na usinijaji maana tumekutana tu humu wala hatujuani,
Kwahiyo unanipangia muda wa kukemea?Wewe ulikua wapi siku zote au ndiyo kufuata mkumbo, acha unafikii mnaharibu uzi kwa mambo ya kijinga mnayakuza na kuongeza attention zaidi, kuna kipindi nilishangaa kujua kama yeye ni wa kiume mbona ukuongea chochote rudi post za juu, leo naona umeokotewa akili zako basi unajifanya mwamba wa kukema,
Acha kila mtu awe na uhuru wake humu usipangie watu na uzi hujaanzisha wewe, kosa la mtu mmoja mnataka kujeuza uzi kuwa sehemu ya majungu,tunaishi kama jamii tunayojuana hakuna haja ya kuleta chuki za kipuuuzi
qeen jojoUsijali binamu next time ukija tutaenda kule kisiwa cha saa nane tukaendeshe boti
Hapa nyuma yaAta kama tuna dhambi ndo tusiongee!!
Si kweli lazima ukweli usemwe haijalishi side effects zake,
Hii hoja ya kumwachia mtu lifestyle yake asikemewe itachochea huu upuuzi humu.
Na una amini hayo maandiko kutoka ktk vitabu fulani vya dini? Najua ume refer BIBLE, POPE si ndio kiongozi anaesimamia kitabu hicho, vipi umeshasikia msimamo wake?Hapo sio kuhesabu haki mkuu ni kumueleza alichotenda kama kinafaa au hakifai...Mungu yupo just sio kwamba yupo stagnant kwenye sheria tu. Hukumu yake ni just na ya adiri.
Kosa moja halihalalishi kosa lingine..wewe kufanya kosa)dhambi fulani haimhalalishi huyu jamaa kufanya akifanyacho - tena kwa kujionyesha. Kila mtu ana dark side yake lakini wote tunayaficha...sasa je kwanini afanye hadharani kitu ambacho ni kinyume na Laws of nature...unajua madhra ya kuvunja Law of nature??? It must be respected and preserved!
Kusema hakuna dhambi kubwa na ndogo ni uongo na kamwe usijidanganye usitegemee mimi niliyemfyonza mtu nitahukumiwa kama atakavyohukumiwa mtu akiyefanya mass killing...Mungu anaema dhambi isiyosameheka ni dhambi ya Kumkashfu/kumkufuru roho matakatifu. There's always a price to pay once you go beyond Laws of nature.
Huyu mtu Kamkufuru roho matakatifu na Maandiko yapo wazi kabisa kwamba mtu atakayelala na mwanaume mwenzie au akaifanya mapenzi kinyume na maumbile dhambi Hiyo haisamehewi kamwe.
Walawi 20.
11 Na mtu mume atakayelala pamoja na mke wa baba yake amefunua utupu wa baba yake; wote wawili hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Hatuhukumu tunaonyesha hali halisi ilivyo kutokana na maandiko...
Mchana mwema
Mimi Anne kama AnneWewe kumjaji mtu wewe ni nani Anne mdogo wangu, soma kwa umakini sana nilichoandika, hebu niambie na uonyeshe kwa vidole ni nani humu amefurahia ushoga humu ndani au kuchekea ushoga haijawahi tokea ila ni kila mtu na maisha yake watu uja humu kufurahi kuwasiliana na marafiki na kutoka, na kama mtu anataka kuwa shoga ni kwa hiari yake na nyie hamuwezi kuwa wakwanza kumkataza mpaka mtu kufikia hatua hiyo ni tayari kashakatzwa sana, sasa msilete hoja yenu kuwa uzi ufutwe kwa interest zenu siku zote ulikua wapi wewe au nawe umepatwa na kiherehere tu baada ya kuona ubanadamu kwanza kuanza kusema hivyo, majukwaa mangapi humu hao watu wamejaa mbona nyuzi hazifutwi, mjitasimini msijione wakamilifu sana ilihali mna mapungufu,
Nikaongeza kukuonyesha chimbuko ya ushiloga unatokea kwenye familia zetu kwani wewe huna familia mpaka uniambie familia yangu acha utoto, anza kulinda vizazi vyenu msijetuletea mashoga waliokua na uzoefu na kuwapa jamii tabu za kuzuia, halafu sio lazima ukabali michango yangu wapo wanaoikubali na nasimamia pale napoona pako sawa na usinijaji maana tumekutana tu humu wala hatujuani,
Kwangu hamuwezi kamweeeeh, tena hapa nyuma yahey hey hey take a loong breathe and relax mjadala achana nao huo ujumbe ushafika tutaendelea kukemea vikali hadharani regardless na sisi tuna dhambi kiasi gani