Aaaaah ouk sawa kipendhiiiiiiih.Iko huko juu ni ya siku nyingi nilikuwa kwenye mtumbwi na kwenda kisiwani
Si yule abuu nani nani sijui ana gujina gurefu kama treni ya gerezani-pugu na wenzake wote
Kama ule wa mapicha ya wadada mpaka Leo hii haujafutwa na hakika huu hautafutwa milele.Ah hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu
Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu
JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira
Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
Unateseka ukiwa wapi?Huu uzi sasa hivi unanuka, nasema ufutwe.
Kutoka kuwa uzi wa kujimwambafy hadi ushga
Mbaya zaidi mnaendelea kucheka nae
Achana nao dear! Atleast jaribu kufuata ushauri wa wale wote waliokuwa wanaongea na wewe na kukukanya kwa ustaarabu hao wako right!Hongera mommy tena uwaambie, wapambane na mie binafsi, uzi hauuhusu chochote, halafu mbona forum ina sett ya ignore na block au hawajui matumizi yake?
Kwa maelezo haya, vipi unataka nikupe zawadi gani? Hakika Elimu na Exposure kwako vinafanya kazi ipasavyo.
Naam Bhageshi
Ila ule wa kula tunda kimasihara ndio haunukiHuu uzi sasa hivi unanuka, nasema ufutwe.
Kutoka kuwa uzi wa kujimwambafy hadi ushga
Mbaya zaidi mnaendelea kucheka nae
Ila huo uzi me sio mdau.Ila ule wa kula tunda kimasihara ndio haunuki
Uzi umejaa uzinzi na umalaya tu mwingine eti mwanaume mzima anajisifia kupigwa mtungo na wanaume wenzie
So disgusting
Hebu mtuache na uzi wetu mtulie hivyo hivyo
Yeeeaaah mommy afu me ni muelewa sana, na ninafuata ushauri wa wale wenye hekima na busara,Achana nao dear! Atleast jaribu kufuata ushauri wa wale wote waliokuwa wanaongea na wewe na kukukanya kwa ustaarabu hao wako right!
Ila siyo hawa waliokazana kutukana mitusi! Eti oh uzi ufutwe umekaa kichoko yaani mijitu ina midomo michafu kama vyoo vya stendi!
Valentine bado lizy
Kwenye hili mwambie ashindwe na alegee aiseh
Si yule abuu nani nani sijui ana gujina gurefu kama treni ya gerezani-pugu na wenzake wote
Douta usifananishe kula tunda kimasihara na mambo ya ajabuAh hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu
Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu
JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira
Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
Jirani punguza majungu uione pepo.Na utavurugwa haswa wewe
Mambo vipi mkuuNaam Bhageshi
Jirani punguza majungu uione pepo.
Waaaahiiii kwani hii dunia ni yetu!watu wangu wa karibu nitakuwa nawasiliana nao piemu kimya kimya
kula kimasihara for everybodyAh hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu
Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu
JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira
Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
Douta usifananishe kula tunda kimasihara na mambo ya ajabu