Selfika na JF: Snap it. Show it

Unautetea sana huu uzi.

Nami nasema ufutwe tu...
Ah hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu


Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara

Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu


JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira

Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
 
Bila kusahau uzi wa vyakula.

Hiyo ya kula tunda kimasihara ni ujinga tu
 
Hongera mommy tena uwaambie, wapambane na mie binafsi, uzi hauuhusu chochote, halafu mbona forum ina sett ya ignore na block au hawajui matumizi yake?

Kwa maelezo haya, vipi unataka nikupe zawadi gani? Hakika Elimu na Exposure kwako vinafanya kazi ipasavyo.
 
Karma
 
Huu uzi sasa hivi unanuka, nasema ufutwe.

Kutoka kuwa uzi wa kujimwambafy hadi ushga😂😂
Mbaya zaidi mnaendelea kucheka nae👆😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…