Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Kwema kabisa hofu kwako
Keki tunakula wapi sasa
Kwema kabisa hofu kwako
Mkuu mimi ni dreva mzoefu kbsa vip napaga kazi?kwa Sasa Kuna nafasi ya dereva tu,otherwise mpaka mwezi March Kuna binti anaondoka anarudi masomoni
dada yangu gari yenyewe canter kuzama vijijini huko kusambaza mbolea hutaweza Kuna changamoto nyingi ingekua ndogo ya kumuendesha mtu hapo sawaMkuu mimi ni dreva mzoefu kbsa vip napaga kazi?
Keki hii hapa tunakula mkuuKwema kabisa hofu kwako
Keki tunakula wapi sasa
Happy New year nige..
Huna cha kupost?hadi picha zako umeshindwa kupost?au nikuombe![]()

Naweza mkuu....mhimu tu uwepo na wewe hapo karibu nikichoka unanisaidiadada yangu gari yenyewe canter kuzama vijijini huko kusambaza mbolea hutaweza Kuna changamoto nyingi ingekua ndogo ya kumuendesha mtu hapo sawa


Mkuu kwa ugali wewe

🤣🤣 Mimi Nina majukumu mengine siwezi kuzunguka koteNaweza mkuu....mhimu tu uwepo na wewe hapo karibu nikichoka unanisaidia![]()
basi sawaMimi Nina majukumu mengine siwezi kuzunguka kote
Aahh Bhageshi unaniangusha ujue
Haha...Bhageshi Karma bhanaAahh Bhageshi unaniangusha ujue
Wifi yenu wapi mkuu nipo nakufa na utamu wangu kama muwa...Mkuu kwa ugali wewe![]()
Au ndo chakula anakiweza wifi yetu kupika

NAKUJA
Taja Bei chapNaitamaini hii simu wallahView attachment 1678399
