Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Ahaaaa kumbeee...Teh!!...shemeji kwa mme/mpenzi uliyenae mkuu.
Mlango upi/milango ipi ipo wazi ili nisiizibe arifu?![]()
😄😄😄acha ufukunyuku ngosha
Ahaaaa kumbeee...Teh!!...shemeji kwa mme/mpenzi uliyenae mkuu.
Mlango upi/milango ipi ipo wazi ili nisiizibe arifu?![]()
Sio ya WhatsApp?ume wrong babuuuh, uwiiiiiiiiiih
Kumbeeeee sasa napata picha loh..aiseh kuna mmoja aliniambiaga I will killNiligeuza nilikotoka sitaki hata kumuona
pole sana ungepambana kidogoMimi na ugomvi ni ardhi na mbingu huwezi nikutia huko kabisapole sana ungepambana kidogo
Huku unataka...huku hautaki 😁😁
Yaaan wee acha tyuuuh, typing error hyooh deaHuku unataka...huku hautaki![]()
Location nzuri
Location nzuri
Ni penyewe au napafanansha? Nilishindwa ku tag locah 1 kw 1Ni sehemu nzuri ya kuangalia mpira na kupata chakula asubuhi, mchana na jioni pia...
Ni penyewe au napafanansha? Nilishindwa ku tag locah 1 kw 1

Wakuu mnatutesa sasa
