Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,179
- 11,255
Kwanini haunenepi we jamaa
Kwanini haunenepi we jamaa
Sikupingi mkuuHuyo mnyama wa ukweli Sana upate na vipande flani vya lemon
Dadeki nna njaa mda huu halafu kuna bonge la mvua nje duhhh[emoji51][emoji51]
Naielewa mkuu sema sijui kwann chenji hua inakua karibu Sana kwangu nikiramba hiyoYes mkuu yenyewe ya ukweli sana
Sikupingi[emoji1635]
Pole sana mkuuDadeki nna njaa mda huu halafu kuna bonge la mvua nje duhhh[emoji51][emoji51]
Naishia kutamani walau mishikaki[emoji848][emoji848]
Good boss Mambo vipi, ngoja nipike chap chap maana Sina ujanjaPole sana mkuu
Vipi kwema lakini
I prefer konyagi to kvant, kvant Ina harufu siipendi na inaweza kuzimisha mtu[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Dooh nimetamani ningekuona ulivyovaa suruali
MarahabaaHamjambo humu
Tangu upate mtoto kila mmoja unamuona mwanao[emoji23]Marahabaa
Nqkuona mchambuzi wa mambo ya uleviHuyo mnyama wa ukweli Sana upate na vipande flani vya lemon
et mchambuzi[emoji16][emoji16] roho I radhi Ila mwili dhaifu niombeage Basi rafiki yanguNqkuona mchambuzi wa mambo ya ulevi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sitaki unipe kesi bure mimi,hahahaaa ananionea balaa subir nikirudi mbeya week ijayo nitampa makonzi manne
Cha Cha chapombeeee[emoji23][emoji23][emoji23]Jana usiku mkali maji na Divai
Sina kitambi aisee nitakupasua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sitaki unipe kesi bure mimi,
ukijaribu ntakupasua kitambi hicho pombe zote zimwagike.
"Roho i radhi mwili ni dhaifu" niombeeCha Cha chapombeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuonea[emoji2098]Teh teh
Haya mkuu
hahaha hahaahaaahhaahhahaahha daaaaah nimecheka sana.....ughweee ukamundu hahahahah ukizeeeka ww wajukuu watakomaNqkuona mchambuzi wa mambo ya ulevi
Kwendaaa"Roho i radhi mwili ni dhaifu" niombee