Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Kwanini haunenepi we jamaa
Kwanini haunenepi we jamaa
Sikupingi mkuuHuyo mnyama wa ukweli Sana upate na vipande flani vya lemon
Dadeki nna njaa mda huu halafu kuna bonge la mvua nje duhhh




Naielewa mkuu sema sijui kwann chenji hua inakua karibu Sana kwangu nikiramba hiyoYes mkuu yenyewe ya ukweli sana
Sikupingi
Pole sana mkuuDadeki nna njaa mda huu halafu kuna bonge la mvua nje duhhh
Naishia kutamani walau mishikaki![]()
Good boss Mambo vipi, ngoja nipike chap chap maana Sina ujanjaPole sana mkuu
Vipi kwema lakini
I prefer konyagi to kvant, kvant Ina harufu siipendi na inaweza kuzimisha mtu



Dooh nimetamani ningekuona ulivyovaa suruali




MarahabaaHamjambo humu
Tangu upate mtoto kila mmoja unamuona mwanaoMarahabaa

Nqkuona mchambuzi wa mambo ya uleviHuyo mnyama wa ukweli Sana upate na vipande flani vya lemon
et mchambuziNqkuona mchambuzi wa mambo ya ulevi

roho I radhi Ila mwili dhaifu niombeage Basi rafiki yanguhahahaaa ananionea balaa subir nikirudi mbeya week ijayo nitampa makonzi manne


sitaki unipe kesi bure mimi,Sina kitambi aisee nitakupasuasitaki unipe kesi bure mimi,
ukijaribu ntakupasua kitambi hicho pombe zote zimwagike.
"Roho i radhi mwili ni dhaifu" niombeeCha Cha chapombeeee![]()
AlikuoneaTeh teh
Haya mkuu

hahaha hahaahaaahhaahhahaahha daaaaah nimecheka sana.....ughweee ukamundu hahahahah ukizeeeka ww wajukuu watakomaNqkuona mchambuzi wa mambo ya ulevi
Kwendaaa"Roho i radhi mwili ni dhaifu" niombee