Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1610191754141.jpg
 
Sawa nitaanza maombi nilishinde hili pepo
Wewe na pepo mna ushirika mzuri.
Huwezi kuwa upande wa pepo halafu eti ulishinde.
Ukimkataa shetani inabidi ukatae na mambo yake.,
Ukimpenda Mungu lazima utii sheria zake,
Bila kufuata nyayo Zake bado haujampenda..ila neema ya Mungu ni kubwa mno,Anaangalia nia ya ndani..
 
Back
Top Bottom