Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Achana na ma k vant hayo kunywa kitu kama hiki!
We pombe gani wakati wa kunywa lazima uilaze chupa??
Achana na ma k vant hayo kunywa kitu kama hiki!
Vyakula vyepesi Sana hiviii
Tutanenepa Mbinguni kimbaombao mwenzanguHahaha....mwili wangu siyo wa kunenepa mkuu.
Vipi kwema lakini jamaa

Umeona Eeeeeh!!Tutanenepa Mbinguni kimbaombao mwenzangu![]()
Flat tummy

😄 najua ni jokes tu Ila unapita kwenye ukweli 😄😄😄 dogo nikija nitakupa mitama stand ya mabasi
Nakutania,usije kasirika bure
ishachemka bado matumizi tuLini itakuwa imechemka?![]()
Stand gani hiyo nione Kama inafaa kukuumizanajua ni jokes tu Ila unapita kwenye ukweli
dogo nikija nitakupa mitama stand ya mabasi


Unene ni mateso tuUmeona Eeeeeh!!
Kwanza unene ni ugonjwa bora kuwa mwembamba wa afya.
Vipi kwema lakini mpendwa

nakuja nayo natembea nayo kwenye themosi isipoe 😄😄Lini nitaitumia![]()
yaani ubebe mawazo kibao kichwani Tena ubebe na kitambi,,nawaonea hurumaUnene ni mateso tu![]()
Wacha weenakuja nayo natembea nayo kwenye themosi isipoe![]()




Ndio hapo sasayaani ubebe mawazo kibao kichwani Tena ubebe na kitambi,,nawaonea huruma

Hasa kwa sisi/mimi mwanaume kuwa mnene siyo kabisa....Unene ni mateso tu![]()
Haa hamna kitambi mchumba!Mchumba
Unanisifia kitambi changu![]()