Selfika na JF: Snap it. Show it

mwaka uliomaliza naona ajira haikua changamoto...mimi nimemaliza 2015

nimesota balaa

mimi nilimaliza 2014 nikawa nachagua sehemu za kufanyia kazi kuna mtu akanitonya Kikwete kauli mbiu yake ni ajira kwa Vijana, unajua anaekuja anakuja ana msimamo gani? utasota ufee


nikapata kazi Oct 2015, huwa namshukuru saba yule mtu sababu niliokua nachagua nao wawili mpaka leo hawajapata.
 
hongera sana kalumbu.....wakati unamaliza nilikua seco year
..
.
ulicheza sana....sisi wa 2015 mpaka leo tunafanya kinyume na degree zetu

ulisoma course gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…