Hata huko HKL kupata huo wastani sidhani kama ni rahisi hivyo..ingekuwa rahisi basi kila mtu angepata.
Ila kumkubali tu kama jamaa alikuwa anajua hawataki hadi kesho
Yaan kumbe huyo jamaa aliekua anatoa hizo pumba kumbe kasoma HKL? Sasa km kweli ni rahisi mbna yee alikimbilia lugha msieeew zake,
Msieeeew Dume zima afu linasoma HKL. na hakuwahi kuwa T. O.
Yaan kumbe huyo jamaa aliekua anatoa hizo pumba kumbe kasoma HKL? Sasa km kweli ni rahisi mbna yee alikimbilia lugha msieeew zake,
Msieeeew Dume zima afu linasoma HKL. na hakuwahi kuwa T. O.