Yusuph alikuwa me rijali aliyetumia kichwa chake vzr..licha ya uzuri wake (inasemekana ndiye mwanaume mzuri zaidi kuwahi kutokea duniani)
Ila hakutumia vibaya uzuri wake.
Kwa Sasa atakuwa anakula bata Mbinguni huko.. naimani nikifika Mbinguni ntamuona HB huyu