Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama mkwe hawezi songa ugali ila alinitafutia mtu wa kunisaidia tu
 
usiogope ukweni wapo wawili tu na mbwa wetu nae yumo kwenye share so ukipika unapika msosi wa watu wanne

Hata kama wapo wawili,Mimi siwezi kukaa sana kwa watu..yaani huwa najihisi mnyonge sana.
Dom tu nimekaa wiki 2 kwa watu yaani nilikuwa mnyonge hatari

Na hili huwa linaniwazisha sana sana siku ya kuondoka nyumbani sijui itakuwaje


Halafu ugenini huwa sipendi Sana kukimbilia jikoni na nikienda jikoni basi niwe na mwenyeji,kila watu wana staili yao ya kupika..waweza kupika hivi kumbe wenzenu wanapika vile.
 
Nikutumie picha yako
Kama ni yangu basi ninayo.

Nina picha za kila aina,Nina za suruali pia na nguo fupi na humu nilishawahi kuweka..Nina za vitenge pia.

Ila nilichosemea Mimi kuvaa Kama hivyo na kuzurura mtaani siwezi..nyumbani naweza vaa na nisione shida kabisa.
 
Kwahiyo unatushauri nini sisi dada zako ambao hatueleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…