cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,289
Sasa huyo daddy anavonchunia mweeh had naogopa,Leo nimeamu kumtag Daddy wako tu.
Tag yako iko njiani![]()
Hebu niulizie nilimkosea nn huyo daddy jomoneeh.
Sasa huyo daddy anavonchunia mweeh had naogopa,Leo nimeamu kumtag Daddy wako tu.
Tag yako iko njiani![]()
Nakuja sasa iv.Haya uje nikfundishe
kwel kabisaDah we acha tu dunian tunapita ndo maan tunaambiwa tukae kwa kutulia kuumaliza mwaka ni mungu tu ila anytime hatuna pumzi
may his soul rest in paradiseUkipata muda wa kufurahi basi furahi sana ukiumizwa lia sana kutoa machungu dunia sio yetu hii wapendwa muda wowote mtu unazima
Kama kuna mtu anamfahamu hyu dogo
Aisee dogo kavuta jana jmn alikuwa anaumwa skoseliView attachment 1663707
(Out of point..)R.I.P dear friend.. Poleni
Kwanini anakukazia?umemfanya nini!i think yo daddy is an introvert acco..to his mwandiko..so kwenye maisha yao hawapendagi kasheshe ukiwajulia utafurahia laifu.Sasa huyo daddy anavonchunia mweeh had naogopa,
Hebu niulizie nilimkosea nn huyo daddy jomoneeh.
ChibongeView attachment 1663727kapicha ka kufungia mwaka

😂😂😂😂Chibonge
Ila umepiga sana zoezi..naona mwili uko vzr sana siku hizi.
Kwema mkuuNaam Mkuu
Pole sana mpendwa
Dah!!..apumzike kwa amani.Ukipata muda wa kufurahi basi furahi sana ukiumizwa lia sana kutoa machungu dunia sio yetu hii wapendwa muda wowote mtu unazima
Kama kuna mtu anamfahamu hyu dogo
Aisee dogo kavuta jana jmn alikuwa anaumwa skoseliView attachment 1663707
Ooooh kumbe bas sawaah,Kwanini anakukazia?umemfanya nini!i think yo daddy is an introvert acco..to his mwandiko..so kwenye maisha yao hawapendagi kasheshe ukiwajulia utafurahia laifu.
Akionekana humu,,,imeisha hiyo....![]()



Mbna nimepitwa tena mie aaahChibonge
Ila umepiga sana zoezi..naona mwili uko vzr sana siku hizi.
Halafu Sasa miili yenu inaendana sana.
Mbona mwandiko wako unaonekana unaunyonge katikati darling nini shidaOoooh kumbe bas sawaah,
Miss u dea![]()
Subiri usiku mkubwa mdogo wangu kipenzi 😍
Kuna siku aliweka pic chap kwa haraka nikajua ni mimi😅😅yani..ila yeye mashallah jamani khaHalafu Sasa miili yenu inaendana sana.
Huwa anaweka picha zake kimyakimya na anafuta haraka huyooo.