Uwezi maliza ubaya bila kutoa ya rohoni mkuu lazima useme ya moyoni alafu utoe msamaha hapo ndo utakuwa na amani ila kusamehe uku una chuki moyoni ni dhambi
Uwezi maliza ubaya bila kutoa ya rohoni mkuu lazima useme ya moyoni alafu utoe msamaha hapo ndo utakuwa na amani ila kusamehe uku una chuki moyoni ni dhambi
Huyo nae ana lake tyuuuh, picha ya mwanzo nimpepigwa mbali, na hii picha nyngne nimepiga mapaja tyuuuh, ndo maan mapaja yamekuzwa, na yey anaona km mapaja n makubwa,
Na hat ivo bado mapaja n madogo, labda km ana lake jambo.
Afu sasa picha ya pouz la hivi, hii sio ya kwanza kule juu nilishawahi kuuweka.