T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,092
Hahahahahaha.....umenichekesha mkuu kurlzawa.Usikute ata uyo T Elly ni pisi.
Kwamba hata mimi usikute ni pisi

dah. Nimeshika dushe kabisa hapa.
Hahahahahaha.....umenichekesha mkuu kurlzawa.Usikute ata uyo T Elly ni pisi.

dah. Dont take things so serious, hakuna aliekuchukulia vibaya but kuna utani unaelekea na ukweli ni kama kuna kitu unakijua zaidi, tupo wote hapa kufurahiana, hakuna sababu ya kuchukulia mambo tofauti hakuna aliechukia ila tunakumbushana privacy ya mtu ni nzuri ukaitunza,Katika maisha yangu sikuwai fikilia kuwa sikj moja furaha inaweza gauka kilio siku moja the first time inantoikea hii...but niwatake radhi wote wana jf wote kwa huu uzi tumekuwa watu wenye furaha anytime ata chating zetu ilikuwa kama watu tunao juana kwa maan hyo nisinge penda kuwa chanzo cha watu kukosana kwa ajili yangubinafs sina furaha na huu uzi tena samahanini sana kwa ilo
# nawapenda sana.
Jamaniii dear love you usichukulie kila comments serious ni utani yameisha hebu upende Uzi wetu tena mamiiiKatika maisha yangu sikuwai fikilia kuwa sikj moja furaha inaweza gauka kilio siku moja the first time inantoikea hii...but niwatake radhi wote wana jf wote kwa huu uzi tumekuwa watu wenye furaha anytime ata chating zetu ilikuwa kama watu tunao juana kwa maan hyo nisinge penda kuwa chanzo cha watu kukosana kwa ajili yangubinafs sina furaha na huu uzi tena samahanini sana kwa ilo
# nawapenda sana.
Imeisha, tuwe wenye furaha kama zamani, tatizo mtu kujua huu ji utani na huu ni ukweli ni ngumu, amesema alikua anatania, usikuze jambo jirani limeisha hiloHivi unafikiri hakuna watu wazuri humu..wapo sana..na kuonana na mtu wa JF haikatazwi lakni kusema nimeonana na Fulani hiyo si sawa kabisa.
Kwani ni lazima kusema unamfahamu fulani?!!![]()
Hahahaha, kuwa na Aman Best ,usijinyime raha kwa kujitoa ktk Uzi kwa kosa lako mwenyeweKatika maisha yangu sikuwai fikilia kuwa sikj moja furaha inaweza gauka kilio siku moja the first time inantoikea hii...but niwatake radhi wote wana jf wote kwa huu uzi tumekuwa watu wenye furaha anytime ata chating zetu ilikuwa kama watu tunao juana kwa maan hyo nisinge penda kuwa chanzo cha watu kukosana kwa ajili yangubinafs sina furaha na huu uzi tena samahanini sana kwa ilo
# nawapenda sana.
Piganeni banahHahaha...hapana sisi ni wanaume hatuwezi kufikia mpaka hatua ya kupigana ngumi.


,Jamaniii dear love you usichukulie kila comments serious ni utani yameisha hebu upende Uzi wetu tena mamiii
HahahahaImeisha, tuwe wenye furaha kama zamani, tatizo mtu kujua huu ji utani na huu ni ukweli ni ngumu, amesema alikua anatania, usikuze jambo jirani limeisha hilo
Hahaha mwenyeweHahahaha
Love you babyThanks baby

Love you babyThanks baby

Rafiki yangu kipenzi usigombane..Rafiki kipenzi usijari
Atakujeuza kenge sasa hiviNaskia nae ni pisi.
Imagen kwa mara ya kwanza nimelia kwa sababu ya watu wamtandaoni ambao ata siwajui ila leo nimenmjisikia vibaya zidi yao kosa ni langu na nimeomba msamaha sijawai kuitwa mbuzi mimi ndo mara ya kwanza leo ila yote hayo nimeyataka mimi sina budi kuyajutia masihara yangu mtu chake Chakorii naombeni mnisamehe sanaJamaniii dear love you usichukulie kila comments serious ni utani yameisha hebu upende Uzi wetu tena mamiii


all the best.