Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Imeisha, tuwe wenye furaha kama zamani, tatizo mtu kujua huu ji utani na huu ni ukweli ni ngumu, amesema alikua anatania, usikuze jambo jirani limeisha hilo
Nitakunasa makonzi jirani ujue😆😆😆😆😆😆nani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
 
Nitakunasa makonzi jirani ujue😆😆😆😆😆😆nani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu

Nb:huu ni utani siko serious wapendwa
 
Imagen kwa mara ya kwanza nimelia kwa sababu ya watu wamtandaoni ambao ata siwajui ila leo nimenmjisikia vibaya zidi yao kosa ni langu na nimeomba msamaha sijawai kuitwa mbuzi mimi ndo mara ya kwanza leo ila yote hayo nimeyataka mimi sina budi kuyajutia masihara yangu mtu chake Chakorii naombeni mnisamehe sana all the best.
linahbaby take it easy honey..

We nae umelia nini sasa loh!!

Hebu njoo tuendelee kufurahi huku..

Njoo basi mcute wangu mzuri mzuri.

Unanifanya na mimi nataka kulia lo😆😆😆😆😆😆haya njoo mwaya
 
Nitakunasa makonzi jirani ujuenani anakuza mambo..


Asili yangu mimi napenda amani kufurahi mda wote..kunikuta nimechukia ni nadra mnooo..

So hakuna kilichoharibika jirani yangu
Sawa jirani yangu mpole mpole nilishangaa hata hivyo nikajua leo kuna mtu kakushukia simu eti au id imekua hacked
 
Halafu my wifiii nina wasiwasi wew na MTU chake mbona hili jambo umechukia mno kuliko muhusika mwenyewe mjulishe MTU chake wewe ni mke halali wa bro wangu

Nb:huu ni utani siko serious wapendwa
😅😆😆😆😆nilikuwa Nisha anza kupanic ujue😆😆😆

Hey mimi na mtu chake hatufahamiani zaidi ya hapa jukwaani selfika.
So hata hivi unavyoniita wifi sidhani kama ni sahihi.Kwakuwa nimemuita mhusika aje akurekebishie hilo jina.

Sihusiki kwa namna yoyote mama na hilo jina.kwa maelezo zaidi waweza hata wewe kumuuliza binafsi.

🥂🥂🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️😘😘🧚‍♀️
 
Back
Top Bottom