Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chakorii mwambie kaka ako namzimikia kimomaaa aseme kama hajanielewa nifocus na binamu yangu@Iceberg9
Screenshot_20201226-111244.jpg
 
Mwambie naelekea kukata tamaa na siku nikikata tamaa ndo naondoka na jf kbsaaa sita rudi


Kwan kumpenda mtu vibaya
Hivi kumbe uko siriazi mama..loh haki nilikuwa sijui...

So sadi pole...🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

😅😅huoni ukiondoka utakuwa umempunguzia injili 🤪🤪komaa dada
Si unajua ukisusa wenzio wala eee😁ehee

Kumpenda mtu si vibaya ila na yeye kukupenda hapo ndo kipengele si unajua eee😁😁eheee
 
Back
Top Bottom