Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Sitaki kuamini na ujanja wako woote unaamini pics ninazopost ni mimiGari nililolipanda hakukuwa na mtu mwenye rangi ya mtume dada..wote tulikuwa cheusi mangara

Sitaki kuamini na ujanja wako woote unaamini pics ninazopost ni mimiGari nililolipanda hakukuwa na mtu mwenye rangi ya mtume dada..wote tulikuwa cheusi mangara

Sasa binamu we mwenyew si unajua me napenda sana matani eehNimefurahi kama ushauri wangu umeufanyia kazi

Hii inatokea jf pekeeAjabu la nane la dunia baada ya lile la bustani inayoelea ni kumpenda mtu kwa kuangalia mwandiko( joking)
😅😅si ni za mdogo wako!!ehee huyo huyo mdogo wako nazungumzia 😆😆😆Sitaki kuamini na ujanja wako woote unaamini pics ninazopost ni mimi![]()
Eeenh dada za mdogo wangusi ni za mdogo wako!!ehee huyo huyo mdogo wako nazungumzia
![]()



Mzaha mzahaSasa binamu we mwenyew si unajua me napenda sana matani eeh![]()


Nimekukunjia mpaka mainiUsikunjie moyo hivyo nitadondoka mwenzio
Eeh ndio hivyo nimeamua![]()
![]()
![]()
Unazingua
Chat na pichaEeh ndio hivyo nimeamua
Aisee, Mungu fundiChakorii mwambie kaka ako namzimikia kimomaaa aseme kama hajanielewa nifocus na binamu yangu@Iceberg9View attachment 1659381
Kama alivo fanya kwako uongoAisee, Mungu fundi

Dah nisamehe Shunie ,Shangazi mtoto mlito. Nakuja fasta ,We mzee mbona umekimbia makapuku huji kusoma magazeti na je wajua
Naona mdomomi hamna kitu

.....Chakorii mwambie kaka ako namzimikia kimomaaa aseme kama hajanielewa nifocus na binamu yangu@Iceberg9View attachment 1659381
We hizo lips zako zilivyojazia sii mchezoNaona mdomo![]()
Nime move on leo trh 26/12/2020 baki na nukta zako.....

hahaha za kupozea chai uongo?We hizo lips zako zilivyojazia sii mchezo