kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Dec 22, 2020 #82,061 Karma said: Mmhh Click to expand... Nikutumie WhatsApp?
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,062 Shunie said: Hakuna yeye ndio anaonyesha Click to expand... Kwa kupiga mizinga sasa😅😅😅
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,063 Karma said: Kwamba hukumtegemea eenh Click to expand... Kabisa yani😅😅
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,064 Karma said: Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu Click to expand... ***** asambaze tu akimaliza akaoge alale
Karma said: Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu Click to expand... ***** asambaze tu akimaliza akaoge alale
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Dec 22, 2020 #82,065 Chakorii said: Kwa kupiga mizinga sasa Click to expand... Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake
Chakorii said: Kwa kupiga mizinga sasa Click to expand... Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,066 Takumi said: bila shaks ni joanah Click to expand... Unatafuta balaa wewe mtu Unamtajaje mtu hadharani namna hii na huna uhakika
Takumi said: bila shaks ni joanah Click to expand... Unatafuta balaa wewe mtu Unamtajaje mtu hadharani namna hii na huna uhakika
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,067 Shunie said: Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake Click to expand... We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa😅😅
Shunie said: Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake Click to expand... We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa😅😅
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Dec 22, 2020 #82,068 Chakorii said: We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa Click to expand... Na mizinga tena ngachoka
Chakorii said: We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa Click to expand... Na mizinga tena ngachoka
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,069 The Wolf said: Daaah, nnaona kama moshi ntaisoma whatsapp msimu huu as usual View attachment 1657010 Click to expand... Usisahau kwenda nyumba ya mungu kuleta perege Chief
The Wolf said: Daaah, nnaona kama moshi ntaisoma whatsapp msimu huu as usual View attachment 1657010 Click to expand... Usisahau kwenda nyumba ya mungu kuleta perege Chief
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Dec 22, 2020 #82,070 Shunie said: Na mizinga tena ngachoka Click to expand... 😆😆😆😆
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Dec 22, 2020 #82,071 Chakorii said: Click to expand... Kuna vitu vinasikitisha mama
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Dec 22, 2020 #82,072 Bihashara
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,073 Shunie said: Sasa una nangana nae unamjua yeye anakujua Click to expand... Nitamnanga hivyohivyo Na Kama aliwahi weka picha hata ya emoj tu na mimi taitumia hiyohiyo. Halafu wenye hayo matatizo ya kunanga wadada ni ambao hawaelewekiwakaka wanaojitambua huwezi kuwakuta na hiyo kasumba.
Shunie said: Sasa una nangana nae unamjua yeye anakujua Click to expand... Nitamnanga hivyohivyo Na Kama aliwahi weka picha hata ya emoj tu na mimi taitumia hiyohiyo. Halafu wenye hayo matatizo ya kunanga wadada ni ambao hawaelewekiwakaka wanaojitambua huwezi kuwakuta na hiyo kasumba.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,074 Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... Mimi ntapambana hivyohivyo Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake. Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana.
Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... Mimi ntapambana hivyohivyo Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake. Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,075 Eli79 said: Uzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi. Click to expand... Hata mm naona
Eli79 said: Uzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi. Click to expand... Hata mm naona
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,076 Karma said: Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu Click to expand... Mwenzie yule nafanya naye mishe nimemnanga juzi Akabisha..nikasema yaani nikiona zimesambaa moja kwa moja nitajua ni yeye.
Karma said: Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu Click to expand... Mwenzie yule nafanya naye mishe nimemnanga juzi Akabisha..nikasema yaani nikiona zimesambaa moja kwa moja nitajua ni yeye.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,077 Shunie said: Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili Click to expand... Dah humu ndani mtanivunja mbavu
Shunie said: Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili Click to expand... Dah humu ndani mtanivunja mbavu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Dec 22, 2020 #82,078 Saint Anne said: Mimi ntapambana hivyohivyo Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake. Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana. Click to expand...
Saint Anne said: Mimi ntapambana hivyohivyo Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake. Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana. Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,076 Reaction score 463,978 Dec 22, 2020 #82,079 Saint Anne said: Dah humu ndani mtanivunja mbavu Click to expand... Hakuna namna ni kupiga magoti tu kwakwenda mbele
Saint Anne said: Dah humu ndani mtanivunja mbavu Click to expand... Hakuna namna ni kupiga magoti tu kwakwenda mbele
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Dec 22, 2020 #82,080 Shunie said: Click to expand... Halafu nyie mna bahati mbaya tu, Mimi watu wenye namba yangu wanajitambua sana..huu utoto nadhani hawana. Ninawaamini Sana na wamekuwa Kama ndugu zangu .
Shunie said: Click to expand... Halafu nyie mna bahati mbaya tu, Mimi watu wenye namba yangu wanajitambua sana..huu utoto nadhani hawana. Ninawaamini Sana na wamekuwa Kama ndugu zangu .