Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,021 Shunie said: Sasa una nangana nae unamjua yeye anakujua Click to expand... Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Shunie said: Sasa una nangana nae unamjua yeye anakujua Click to expand... Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,591 Reaction score 119,708 Dec 22, 2020 #82,022 Uzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi.
Uzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi.
T Takumi Member Joined May 10, 2020 Posts 36 Reaction score 74 Dec 22, 2020 #82,023 Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... taja hiyo helufi ya kwanza mkuu
Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... taja hiyo helufi ya kwanza mkuu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,024 Chakorii said: Tayari madame fasta sana Ila usikute labda kuna mtu alikuwa anatumia simu yake..najaribu kuwaza ila sijatoka jibu ujue Click to expand... Kwamba hukumtegemea eenh
Chakorii said: Tayari madame fasta sana Ila usikute labda kuna mtu alikuwa anatumia simu yake..najaribu kuwaza ila sijatoka jibu ujue Click to expand... Kwamba hukumtegemea eenh
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,025 Makiseo said: Kwambaaaaaaaaaa...Na picha yake Mhusika unayo? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Babe unashangaa ya kwake na alizokuwa nazo anasambaza mla cha wenzie na chake huliwa pia
Makiseo said: Kwambaaaaaaaaaa...Na picha yake Mhusika unayo? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Babe unashangaa ya kwake na alizokuwa nazo anasambaza mla cha wenzie na chake huliwa pia
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,026 Eizyek said: ....View attachment 1657003 Click to expand... Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu
Eizyek said: ....View attachment 1657003 Click to expand... Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu
sawima JF-Expert Member Joined Jul 9, 2019 Posts 5,646 Reaction score 8,736 Dec 22, 2020 #82,027 Karma said: Umeona enh Na wanaume wa JF ni wanafiki na wambea wanawake tunasubiri Click to expand... Sio jf tu hata mtaani wanatisha balaa.
Karma said: Umeona enh Na wanaume wa JF ni wanafiki na wambea wanawake tunasubiri Click to expand... Sio jf tu hata mtaani wanatisha balaa.
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Dec 22, 2020 #82,028 Karma said: Teh Teh Sawa Rapcha hebu tupe mistari aisee Click to expand... Nikupe ya kukusifia sana au kidogo?
Karma said: Teh Teh Sawa Rapcha hebu tupe mistari aisee Click to expand... Nikupe ya kukusifia sana au kidogo?
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,029 Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... Yaaani unakuwa mpole ghafla huna cha kufanya
Karma said: Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah Click to expand... Yaaani unakuwa mpole ghafla huna cha kufanya
Eizyek JF-Expert Member Joined Aug 12, 2019 Posts 800 Reaction score 2,776 Dec 22, 2020 #82,030 Shunie said: Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu Click to expand... ngoja niendelee kuupalilia ukue vizuri
Shunie said: Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu Click to expand... ngoja niendelee kuupalilia ukue vizuri
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,031 Chakorii said: Hebu umuulize kwanza pengine labda kutakuwa kunakitu..ninatafakari sipati jibu haki tena Click to expand... Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
Chakorii said: Hebu umuulize kwanza pengine labda kutakuwa kunakitu..ninatafakari sipati jibu haki tena Click to expand... Mmhh kitu gani hiko Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,032 Shunie said: Na hakuna wanafki kama wanaume wa jf unaona wanakupenda kukukula wanakukula na siri wanatoa Click to expand... Hapo sasa Unadhani wanakupenda kumbe wanakung'ong'a
Shunie said: Na hakuna wanafki kama wanaume wa jf unaona wanakupenda kukukula wanakukula na siri wanatoa Click to expand... Hapo sasa Unadhani wanakupenda kumbe wanakung'ong'a
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,033 Shunie said: Yaani mimi nimeshasema ikijirudia hii naweka thread nataja jina na picha yake juu Nikipewa ban nitapumzika jf nikichoka nitamuomba msamaha melo WhatsApp nitamlilia machozi yote Click to expand... Melo anatakiwa awe muelewa tu kwa kweli ban ya nini sasa
Shunie said: Yaani mimi nimeshasema ikijirudia hii naweka thread nataja jina na picha yake juu Nikipewa ban nitapumzika jf nikichoka nitamuomba msamaha melo WhatsApp nitamlilia machozi yote Click to expand... Melo anatakiwa awe muelewa tu kwa kweli ban ya nini sasa
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,034 Eizyek said: ngoja niendelee kuupalilia ukue vizuri Click to expand... Ewaaaah
ismail hassan JF-Expert Member Joined Jul 16, 2017 Posts 696 Reaction score 1,629 Dec 22, 2020 #82,035 Extrovert said: Hivi ni kini che wafanye wandee wakishambaa watana kwei, ambu ni rangi yenyu ye mng'alo. Moyo wangu uita kasi kwei shunie...nkunda siku ing'we nkunkhe zawadi spesho. Click to expand... nzeze mghoshi
Extrovert said: Hivi ni kini che wafanye wandee wakishambaa watana kwei, ambu ni rangi yenyu ye mng'alo. Moyo wangu uita kasi kwei shunie...nkunda siku ing'we nkunkhe zawadi spesho. Click to expand... nzeze mghoshi
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,036 Takumi said: bila shaks ni joanah Click to expand... Mtoe joanah hapo mkuu hanaga hizo mambo
The Wolf JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,445 Reaction score 20,822 Dec 22, 2020 #82,037 Daaah, nnaona kama moshi ntaisoma whatsapp msimu huu as usual
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,038 Karma said: Melo anatakiwa awe muelewa tu kwa kweli ban ya nini sasa Click to expand... Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili
Karma said: Melo anatakiwa awe muelewa tu kwa kweli ban ya nini sasa Click to expand... Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,043 Dec 22, 2020 #82,039 ismail hassan said: nzeze mghoshi Click to expand... Ntana mghoshi
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 22, 2020 #82,040 Eli79 said: Baadhi dota, repeat that...baadhi! Click to expand... Kweli daddy nisamehe Ni baadhi tu wala siyo wote Mpo wachache humu mnaojiheshimu
Eli79 said: Baadhi dota, repeat that...baadhi! Click to expand... Kweli daddy nisamehe Ni baadhi tu wala siyo wote Mpo wachache humu mnaojiheshimu