Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!
Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
Yaani we acha tu! Kama naona vile tukimuanika wanaume wengi wa JF watakavyokuja kutushukia kama mwewe kumtetea maana ndiyo wanaomtuma kufanya hiyo kazi!