BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,810
Naomba niiosheHe is the living GodView attachment 1654420
Naomba niiosheHe is the living GodView attachment 1654420
Unavidole vya kienyeji vizuri mnooo😘😘😘..na Kucha pia👌👌
😅😅Chibonge
He is the living GodView attachment 1654420
kucha sasa lolBado nipo ila bush huku kwa kina Ndugai
Hujambo lkni..
Bado uko Dodoma au umeshaondoka?
Niko Dodoma leo
Mungu wangu weeeeh, picha ya kuombea mkopo bank.




dea .Hahaha..eti vidole vya kienyeji na kucha pia.Unavidole vya kienyeji vizuri mnooo..na Kucha pia
![]()
Dah!!..natamani ningekuwa nimechuchumaa kwa chini ya hiyo picha.
Saint AnneHe is the living GodView attachment 1654420
Kwa kina ndugai ni kongwa au mpwapwa??Bado nipo ila bush huku kwa kina Ndugai
Wee usiniambie..hebu niambie ni bank gani inazingatia vigezo hivyo..Nina shida na fwezaMungu wangu weeeeh, picha ya kuombea mkopo bank.
dea .
Kwem Chief..za kwako
Utakuwa kipofu weweee ohoooDah!!..natamani ningekuwa nimechuchumaa kwa chini ya hiyo picha.
Na hii naruhusiwa kuipigia chaputa?
KongwaKwa kina ndugai ni kongwa au mpwapwa??
kucha sasa lol
Hamjambo?
Mwe picha zangu hata sina Nkamutununu nkamu ulipo...
i picha nkamu nimekuona muda nataka nikuone tena
Huyu Mwanangu wa Ujanani huyu..
Taratibu tu nitamtambulisha awafahamu ndugu zake
Sent using Jamii Forums mobile app



