Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Itakuwa mapacha tusio juana.
Nimefanana nae nini?
Itakuwa mapacha tusio juana.
Usiache kunitag kwa kweli.Ziweke standby tu..
Likitokea nitakutag maana wengine tunaishi kwenye huu uzi
mmmh kwa ile picha uliyotuma asubuhi utafunika lazima labda kama sio yakoOna sasa ninashindwa na hilo.
Mimi ni mnene sema nina miguu membamba.
Sina bahati
Picha zinaongopa labda kidogo video ndio huwa ina uhalisia.
Wataalamu wa picha na kufotoa ukweli huu wana ujua.
Nitakutafuta unione.
Itakuwa mapacha tusio juana.
Nimefanana nae nini?
Lazima pawe na tofauti kati ya mwanamke na mwanaume au sioNdio ndio yaani mikono kama hiyo halafu aungurume kama simba .........kudadeki





Uchawi upompiga filimbi wa hamelin
Usije ukamkimbia mumeo,si unajua sisi tuna sifa za kati na kati na tunapendwa sana na sifa hizi ndio zinatafutwa mno.Hapo mwishoni patilie mkazo zurri
Raundi hii utapata..tena si umesikia dau linapandaUsiache kunitag kwa kweli.
Yaani nitashindana kwa nguvu zote nitawafunika hadi akina Saint anne
Ni swaga za huku BurigiUlimi wa nini tena wewe Me?
Najiandaa kwa mashindano.@Hannah
Kama ni kati kati tuu nitamfunika hadi miminimamaHapo panene ni katikati lazima.....kama napaona tunapataka hapo panene kwako tupaone
Yako sijaoona
Tangu nakufahamu leo ndio umesema ukweli. Huo tunauita ukweli mtupu.Uchawi upo
Hawezi shinda. Safari hii nitashinda mimi.Na kama kawaida atashinda maana wapenda mizigo wengi humu
Ukweli upi!?Tangu nakufahamu leo ndio umesema ukweli. Huo tunauita ukweli mtupu.