Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,474
- 203,116
๐๐๐๐๐๐๐๐Aiseee.
Mimi kuanzia kesho nakula sufuria lote la ugali.
Haiewezekani huyu dada mguu wake mmoja ndio mwili wangu mzima![]()
๐๐๐๐๐๐๐๐Aiseee.
Mimi kuanzia kesho nakula sufuria lote la ugali.
Haiewezekani huyu dada mguu wake mmoja ndio mwili wangu mzima![]()
Wewe kitumbua chako tu kutoa ni mgumu
Utajikuta Asha boko we shindana na tembo kunya shaurilo.....hahahaha











Hata hivyo hongera dada ake..![]()
Sawa kakaTayari subiri ushuhuda
Nataka at least nifikie size yako au sio mwenza chibonge Saint anne
Nasubiria sodaa
Kabisa.Nataka at least nifikie size yako au sio mwenza chibonge Saint anne
Hahah...ukaguzi unaendeleaMnakufwaaa mwaka huu mambo ya neema za Allah zile kubwa kubwa.
miminimama hembu fanya kuweka Tena zile za Jana kwa faida ya kapeace
Hadi nyie mmeshindwa kupambana jamaniMi nipo katikati ya mnene na mwembamba sieleweki





.WoyooooooooNitaweka kwa ajili yenu mmenifanya nipate 20,000 chap chap nitamuwekea tu.






Hadi nyie mmeshindwa kupambana jamani.
miminimama Ni habari nyingine.
Huyu dawa yake asha boko,hakuna namnaView attachment 1221679
Namimi ndio nataka nisielewekeMi nipo katikati ya mnene na mwembamba sieleweki