Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 2, 2019 #7,981 Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand... Aiseee
Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand... Aiseee
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 2, 2019 #7,982 kapeace said: Mwehu wewe Click to expand... Nimemkumbuka yule jamaa wa instincts hivi amerudi?
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 2, 2019 #7,983 Hannah said: Nimepitwa kwa hiyo Click to expand... Ila ungekuwepo ungepata hakika.. Braza Mshana Jr & mshipa mdau mwingine huyu anaulizia shindano lingine lini?!😁
Hannah said: Nimepitwa kwa hiyo Click to expand... Ila ungekuwepo ungepata hakika.. Braza Mshana Jr & mshipa mdau mwingine huyu anaulizia shindano lingine lini?!😁
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,381 Oct 2, 2019 #7,984 Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand... Enheeee umesema vizuri nyie tusifieni tu hata vya uongo Picha babu tunataka
Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand... Enheeee umesema vizuri nyie tusifieni tu hata vya uongo Picha babu tunataka
Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,633 Reaction score 38,733 Oct 2, 2019 #7,985 Post namba ngap? kapeace said: Hujaona pics ndo tatizo mi ni mweupe peee Click to expand...
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,768 Oct 2, 2019 #7,986 Ni mnene hata hivyo atlas copco said: @mzigua90 mm huwa nakufikiria ni mdada fulani mnene hivi kumbe sio? Click to expand...
Ni mnene hata hivyo atlas copco said: @mzigua90 mm huwa nakufikiria ni mdada fulani mnene hivi kumbe sio? Click to expand...
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 2, 2019 #7,987 PTER said: Tuma basi Piemu au unasubiri nitangaze dau ? Click to expand... Inagomaaa au sijui sababu nimefanana na ba mdogo
PTER said: Tuma basi Piemu au unasubiri nitangaze dau ? Click to expand... Inagomaaa au sijui sababu nimefanana na ba mdogo
K Kisai JF-Expert Member Joined Apr 6, 2018 Posts 29,126 Reaction score 29,333 Oct 2, 2019 #7,988 ArIeN said: Asiyeelewa hapo tena basi Click to expand... Ajabu watabisha wakati sisi ndio tunao uona uzuri wao.
ArIeN said: Asiyeelewa hapo tena basi Click to expand... Ajabu watabisha wakati sisi ndio tunao uona uzuri wao.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 2, 2019 #7,989 Saint anne said: Hela haswaaa. Ungekuwepo Na Wewe yawezekana ungepata.. Kuna chibonge kaibuka kidedea Click to expand... Inamaana Mshana Jr umeshindwa kutugawia na sisi picha zetu ambazo hazishindi hata 5,000?
Saint anne said: Hela haswaaa. Ungekuwepo Na Wewe yawezekana ungepata.. Kuna chibonge kaibuka kidedea Click to expand... Inamaana Mshana Jr umeshindwa kutugawia na sisi picha zetu ambazo hazishindi hata 5,000?
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,381 Oct 2, 2019 #7,990 Bado hajarudi uzi umechangamka balaa Hannah said: Nimemkumbuka yule jamaa wa instincts hivi amerudi? Click to expand...
Bado hajarudi uzi umechangamka balaa Hannah said: Nimemkumbuka yule jamaa wa instincts hivi amerudi? Click to expand...
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 2, 2019 #7,991 Saint anne said: Depal sio wewe kweli wa jukwaa la international tusafishe nyota!? Click to expand... Siwezi kuwa aisee 😂😂 Ilo jukwaa hata kuliona tu sijawai
Saint anne said: Depal sio wewe kweli wa jukwaa la international tusafishe nyota!? Click to expand... Siwezi kuwa aisee 😂😂 Ilo jukwaa hata kuliona tu sijawai
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,381 Oct 2, 2019 #7,992 Pulisic CFC said: Post namba ngap? Click to expand... 3000....huko
K Kisai JF-Expert Member Joined Apr 6, 2018 Posts 29,126 Reaction score 29,333 Oct 2, 2019 #7,993 Saint anne said: Niweke nisiweke? Click to expand... Usiweke
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,768 Oct 2, 2019 #7,994 Kuwa na pesa sio jambo rahisi. Cresida said: Itakuwa hawana hela maana wengi wanafuatilia huu uzi ila ndo hivyo pesa hamuna.. Dada angeweka Click to expand...
Kuwa na pesa sio jambo rahisi. Cresida said: Itakuwa hawana hela maana wengi wanafuatilia huu uzi ila ndo hivyo pesa hamuna.. Dada angeweka Click to expand...
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 2, 2019 #7,995 Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand...
Zurri said: Nimeruhusiwa tangu dunia inaumbwa ya kwamba katika uongo mzuri ni kumsifia mwanamke hata kama sifa hiyo hana ila iwe inakaribiana na aliyonayo. Watoto wakike mnapenda kusifiwa nyinyi,yaani uzuri uzuri ndio sifa zenu. Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 2, 2019 #7,996 ArIeN said: Ila ungekuwepo ungepata hakika.. Braza Mshana Jr & mshipa mdau mwingine huyu anaulizia shindano lingine lini?! Click to expand... Mimi shindano najua sitashinda ila watufikirie na sisi ambao tunashindwa. Zawadi itolewe kwa aliyeshinda na ambaye hajashinda
ArIeN said: Ila ungekuwepo ungepata hakika.. Braza Mshana Jr & mshipa mdau mwingine huyu anaulizia shindano lingine lini?! Click to expand... Mimi shindano najua sitashinda ila watufikirie na sisi ambao tunashindwa. Zawadi itolewe kwa aliyeshinda na ambaye hajashinda
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,355 Reaction score 23,084 Oct 2, 2019 #7,997 Hannah said: Nimemkumbuka yule jamaa wa instincts hivi amerudi? Click to expand... 😂😂 hadi itakapotangazwa tena
Hannah said: Nimemkumbuka yule jamaa wa instincts hivi amerudi? Click to expand... 😂😂 hadi itakapotangazwa tena
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 2, 2019 #7,998 Zurri said: Usiweke Click to expand... Naweka
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,768 Oct 2, 2019 #7,999 Nikajua bebe kaninyima mgao Pulisic CFC said: Hahaha wewe uliwaamini wale vichaa Click to expand...
K Kisai JF-Expert Member Joined Apr 6, 2018 Posts 29,126 Reaction score 29,333 Oct 2, 2019 #8,000 kapeace said: Enheeee umesema vizuri nyie tusifieni tu hata vya uongo Picha babu tunataka Click to expand... Ukiniona utaumia sana,na utapata shida mno. Salama yako usinione.
kapeace said: Enheeee umesema vizuri nyie tusifieni tu hata vya uongo Picha babu tunataka Click to expand... Ukiniona utaumia sana,na utapata shida mno. Salama yako usinione.