Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,423
Kazi kweli kweliAlivyokuwa anamsifia ex wake sasa. Naona he was looking for his ex in those girls
Hebu pambana kama yule ndugu yako.Bado nanenepesha trako kwanza ndiyo nipost; au unataka nipost huu mgongo ulioungana na tumbo na kifua?
Kwani yuko wapi mamako? Hata sijamwona leo, huko aliko Mungu amuangazie tu.




Anajua mwenyewe aliko.
Mbona yupo jamani baba kwani unaangalia wapi








Huku kwema sana tu mkuuHayaga nkoyi. Kwema huko?
Hahahaha....nimeula na kuunywa kabisa bhageshi.Īkūbī lya būnani
Umenikumbusha nyumbani bageshi. Yaani mlenda huo ukitiwa karanga (gīsū) na tumaziwa tubichi kidogo uwiii....