Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hivi hizi code zako utaziacha lini baba😅😅....
Hivi hizi code zako utaziacha lini baba😅😅....
Huyo muone hvo hvo aingiliki nakwambia
😍😍😍😍😍😍.! Imekaa vyema sana mkuu alfu una mwili fulani ambao hapa Mjini watu wanauhangaikia kwa madude kibao Mara Forever living Products na mengine .!Thank you for the compliment rafiki,i appreciate😘, for real nimetamani kukuona pia, Mungu atujalie uzima tu ipo siku.
Ila kwenye kutupia hapo 😀😀🤭 sijui , hapo nilivaa mtishet flani oversize huo.
Binamu taratibupunguza ukali wa maneno utanikosesha mchumba ujue
Hutakosa 



Hahahaha, kiti katisha ,halafu unakuta konda nae ana hamu ya kukaa maana anasimama sanaKabisa yani.tena wewe ningejidai napandisha maruwani nikidai kiti anamtaka mtu chake ili tukae wote![]()
Ninayo hiyo tu bossWamepiga lami siku hizi hadi huko juu kabisa kwenye wodi za watoto ?? Nimewahi kuwepo hapo kwa miezi kadhaa .!
Kuna Barabara ya kupandisha na barabara ya kushuka ...! One way road.! Napamiss mbeya jamani.!
Kipenzi naweza pata picha zingine za huko kwetu .. Green city![]()
Dah, mie nishazoea togwa Rafiki kipenzi changuHiyo inaitwa coka kola bariiiidiii mno kipenzi changu rafiki
Unanisimanga etiUmeanza lini ushambenga jirani ee si nakuuliza![]()
Hahahaha, nazeeka pekee yangu Rafiki kipenzi
Mimi nawaza nisingekuwa mrefu sijui ningekuwaje maama mwili mdogoKumbe hadi wewe lastborn ni mrefu, uko vizuri
Urefu rahaa![]()

Nacheka kama mazuriWewe sasa he he heheeee
Ongeza kijiko,nakuja
Sio fomu za vyama vya siasa nooo ni fomu za wachangiaji... Tuache hiyo nimeshatoka huko usiku tulivuu sahiviHapo ulipo sasa hivi unafomu ya chama gani jirani yangu kipenzi![]()
Na ulivo lastborn watu wangekuonea sana😀Mimi nawaza nisingekuwa mrefu sijui ningekuwaje maama mwili mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhHuyo muone hvo hvo aingiliki nakwambia