Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We huwezi kujifanyia tathmini? Akija akaongea tofauti si itakuvunja moyo!
Sasa na uzuri wenyewe hata JF hayupo..
Angekuwepo akatoa majibu ya kunivunja firigisi,utumbo,bandama,kongosho,mawashiwashi na mengineyo😅😅ningefurahi snaa maana ningejituma zaidi ya mwanzo huku nikisindikiza na maombi ya siku tatu kavu mlima sayuni..Hallelujah
 
Wow .. vipaja vizuri sana Mkuu
Mkuu tafadhari unaonaje tukipata dinner pamoja siku moja..! We ni moja ya watu ninaotamani kukutana nao hara nikiwaona tu nitakuwa happy sana. Alfu unavyotupia daah
View attachment 1643916
Thank you for the compliment rafiki,i appreciate😘, for real nimetamani kukuona pia, Mungu atujalie uzima tu ipo siku.

Ila kwenye kutupia hapo 😀😀🤭 sijui , hapo nilivaa mtishet flani oversize huo.
 
Green city Ward za watoto rufaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Wamepiga lami siku hizi hadi huko juu kabisa kwenye wodi za watoto ?? Nimewahi kuwepo hapo kwa miezi kadhaa .!
Kuna Barabara ya kupandisha na barabara ya kushuka ...! One way road.! Napamiss mbeya jamani.!
Kipenzi naweza pata picha zingine za huko kwetu .. Green city
 
Back
Top Bottom