BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,810
Weka yako tu likeWakuu leo hakuna picha picha
Aisee
Mweeu
Weka kwanza weweWakuu leo hakuna picha picha
😋😋😋😋😋😋😋kichanga changu kimeruka baada ya kuona maembe...loh
Hahahahaha..... Chakorii bhanakichanga changu kimeruka baada ya kuona maembe...loh
Aisee, kweli simpingi. Ukiwa na manzi kama huyu inakua muswano sana, Hana mbwembwe nyingi. Huyu Karma nahisi usikute hata Kinigu/Ndukuru amewahi kumokaNi mtoto wa kike huyo


Nimefanyaje tena wakulungwa🤪🤪
Daah bro wangu ana ruhusiwa kuja kuleta posa wifi nitafaidi mapochopocho
Mimi sina pichaWeka kwanza wewe
Unakula wapi jirani, mambo ya msosi unapenda wewe kama mimi
Ile picha usimama weka mkuuMimi sina picha
Mke wa mtu huyoDaah bro wangu ana ruhusiwa kuja kuleta posa wifi nitafaidi mapochopocho




Simu yangu mbovu haina uwezo wa kuweka picha baba naniii vileAnza mkuu nitalipa![]()
Dada zangu hawa, chagua nikupe yupiSimu yangu mbovu haina uwezo wa kuweka picha baba naniii vile