Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,255
We dada weweee😅😅Nipe hela nikuwekee aliyoifuta
Mimi ninayo
😆😆😆Hahahaha....niliiona japo nilitaka kurudi kuiona kwa ukaribu zaidi na kuthaminisha kama yaliyomo yanaweza kuwemo.
Habari ya uzima mpendwa Saint Anne
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Nivinjie hizi code basi rafiki yangu kipenziCodes hizo
Mi wenyewe sijui😅😅Riziki ipi hy Rafiki
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂Ahsante, vzr km na ufurahisha moyo wako
Chizi kabisa wewe😅😅Nikadhani dawa yangu iko kwa kiuno
Kumbe iko kwa jicho
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
HahahahaMi wenyewe sijui![]()




Sema suu niwekeWe dada weweee![]()
Sema suu niwekeSema suu niweke
We jamaa mimi sio sista duu mara sijui nadonoa donoa akuu napiga msosi mpka unakata😅😅
Eti Eeeeeeh!!We jamaa mimi sio sista duu mara sijui nadonoa donoa akuu napiga msosi mpka unakata
Iwe nimenunua mwenyewe au nimenunuliwa lazima msosi niufyeke wote haina machaguzi kabisa

Umemuona Lizarazu??
Unataka nikumisije mom
Ehee