Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,682
- 51,000
Hukoseagi wewe, sema kaswali kangu hako je umeshawahi kukaa tanga au wewe unatokea tanga? , kama unatokea tanga wewe ni fundiiiii
Kwani nimepatia mkuu





Hukoseagi wewe, sema kaswali kangu hako je umeshawahi kukaa tanga au wewe unatokea tanga? , kama unatokea tanga wewe ni fundiiiii
Kwani nimepatia mkuu





Hapana mkuu mi nilipita tuHukoseagi wewe, sema kaswali kangu hako je umeshawahi kukaa tanga au wewe unatokea tanga? , kama unatokea tanga wewe ni fundiiiii![]()
Pole yake
Ukiokoka wewe inatosha mkuu
Sawa sawa mkuuHapana mkuu mi nilipita tu
Sijawahi kuishi huko na wala sio mtu wa huko
Dodoma fahari yetu


Nimekuona sehemu,nipo upande wa pili kama unaelekea choo cha wanawake.
Dogo ka ataki kitu vile afu unamfosi.
HamnaDogo ka ataki kitu vile afu unamfosi.
Saa ngapi mkuuNimekuona sehemu,nipo upande wa pili kama unaelekea choo cha wanawake.
Ni dalili kwamba ni kapole.Hamna
Ndivyo alivyo, Ana tabia ya kuinamisha shingo hivyo anapoangalia kitu.
Hata nyumbani akiwa anaangalia tv anaweka shingo hivyohivyo.
Tumemkataza tumeshindwa.