Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Huyo bi mkubwaa hawezi kukaa nalo rohoni kabisaa
Asingeweka neno wallah ningeomba mods wanipige ban ya maisha
Huyo bi mkubwaa hawezi kukaa nalo rohoni kabisaa
Asingeweka neno wallah ningeomba mods wanipige ban ya maisha
Na maziwa pia ntakunywa baada ya kunywa chaihahahahahahahha


Waooh thank you do much nitamfikishia usijali na nitamrudisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amenimiss mimi pekee Kwa kuwa nami nimmemiss pia, unajua principles za maisha ni ukimjali mtu nae atakujali, ukimpenda mtu nae atakupenda, ukimheshimu mtu nae atakuheshimu, ukimbembeleza mtu nae atakubembekeza... kila jambo utegemea response ya upande wa pili so there is no magic zaidi ni upendo tu, lakini mwambie akirudi aje na maelezo nitafurahi kama akiupata ujumbe wangu, nawapenda wote Tansy vs linahbaby
![]()
Kuwa nae makini.![]()
![]()
![]()
Unataka kuzidisha chumvi sasa ili mboga iharibike
![]()
![]()
![]()
![]()
WeweMie au baadhi ya hao wachungaji wenu![]()
Mbona umeweka plaster kwa vidolee???
Ehee natoa cement vidoleni 😅😅Mbona umeweka plaster kwa vidolee???
Unamjua😅😅😅Ni yeye
We jamaa tangu nikujue hujawah nyoa hizo ndevuJioni njema wakuu"View attachment 1632321
Aya njoo niambie sikioni
Sasa kuguna tu ndiyo unaanza kujiongeza nilichotaka kusema eti


Ulikuwa wapi?