Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Subiri hapo hapoUswahili huo
Soon naweka
Subiri hapo hapoUswahili huo
Nawatamani wenye watotoThank you Anne
Ni kazi kweli ila raha sana mkikutana mnaoendana![]()

Fanya hivyo kwakweli 👊🏾👊🏾Umenishawishi kupika maandazi.
Wacha jioni nipike.
Una kucha za kupostika#Mornings.....
Some mornings are dull and some are NOT!!
View attachment 1630400View attachment 1630401

Tangu Jana ndio umeiona Leo

Siasa umeanza lini?Subiri hapo hapo
Soon naweka
Usiishie kutamani mwaya. Kama muda na hali inaruhusu go for it!!💪🏾💪🏾Nawatamani wenye watoto
Pamoja na changamoto ndogondogo zinazowakumba watoto ila bado watoto ni baraka Sana..nyumba bila watoto hainogi.
Jana nilikuwa nimechoka sikufuatilia tag yako. Leo nimeona mchumbaYaani pamoja na kukutag kote bado hujaona picha yangu???
Wewe mzembe Sana..panda comments za juu za Jana zile..angalia moja hadi nyingine utaona.
Leo pia Kuna mtu kacomment picha yangu niliyokutumia,fatilia comments za usiku utaona.



Ya nyumbani mazuri kwakweli.Fanya hivyo kwakweli
Ya nyumbani matamu sana kuzidi ya kununua![]()
Ww lini unampango wa kupata mtoto?Nawatamani wenye watoto
Pamoja na changamoto ndogondogo zinazowakumba watoto ila bado watoto ni baraka Sana..nyumba bila watoto hainogi.



Usiishie kutamani mwaya. Kama muda na hali inaruhusu go for it!!![]()





Hadi nitakapopata hela na mume


mama yao Sina Hata Mia mbovu
Jana nilikuwa nimechoka sikufuatilia tag yako. Leo nimeona mchumba
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app

Nasubiri picha yako ingine
Ndio naitafuta picha hapa ili niwekeSiasa umeanza lini?

😊😊 nikiacha kuzila kweli zinapendeza pendeza kidogo 🙂🙂Una kucha za kupostika![]()
Duh! Mda wa kuzila unautoaga wapi?nikiacha kuzila kweli zinapendeza pendeza kidogo
![]()
Sawa tuNdio naitafuta picha hapa ili niweke![]()
Za kwangu njema/salama kabisa namushukuru MunguNi nzuri sana Elly.za kwako?
Utafutaji wa hela ni endless process, ila mume ni uhamuzi wako tu. Fungua moyo wako tuweze kuingiaHadi nitakapopata hela na mume
Sitamani nilete viumbe wa Mungu duniani waje kuwa chokoraamama yao Sina Hata Mia mbovu
![]()

