Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani pamoja na kukutag kote bado hujaona picha yangu???
Wewe mzembe Sana..panda comments za juu za Jana zile..angalia moja hadi nyingine utaona.
Leo pia Kuna mtu kacomment picha yangu niliyokutumia,fatilia comments za usiku utaona.
Jana nilikuwa nimechoka sikufuatilia tag yako. Leo nimeona mchumba

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Fanya hivyo kwakweli
Ya nyumbani matamu sana kuzidi ya kununua
Ya nyumbani mazuri kwakweli.
Kuna siku walinunua nikala nikaishia kuhara..sijui yalikuwa yameharibika Yale.. tangu siku hiyo sili tena maandazi ya kununua.
Changamoto inakuja uvivu tu wa kupika,tena watoto wanayapenda..ngoja niwatendee haki.
 
Back
Top Bottom