Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi inabidi upate na mpishi mwingine mzuri sambamba na Auntie.

Glad to hear mama is still around.

Dah....why did you have to mention perege jamani Ukiacha ndizi za kukaanga....umewahi kula za kupikwa na perege wa kukaagwa wanawekwa juu ya ndizi dakika za mwisho kabla ya kuzi-serve??? Yohhhhh ni moto wa kuotea mbali Used to be one of my bibi's speciality
Ha ha unatokea uchagani nini lizzy?daah acha kabisa huo upishi wa ndizi, aisee ni tamu sanaaa
 
Basi inabidi upate na mpishi mwingine mzuri sambamba na Auntie.

Glad to hear mama is still around.

Dah....why did you have to mention perege jamani Ukiacha ndizi za kukaanga....umewahi kula za kupikwa na perege wa kukaagwa wanawekwa juu ya ndizi dakika za mwisho kabla ya kuzi-serve??? Yohhhhh ni moto wa kuotea mbali Used to be one of my bibi's speciality
My bibi treat pia...ninapenda sana ila tangu alivyoondoka duniani sijawahi kula tena hivi
 
My bibi treat pia...ninapenda sana ila tangu alivyoondoka duniani sijawahi kula tena hivi
Same here 🙁🙁

Na chapati za mayai 😃 she used to make some MEAN pancakes!!Yani dah 😒😒 Kuanzia aende zake sikuwahi kula tena. Ntapikia watu wengine ila mie silagi kabisa!!
 
Nina shangazi yangu hatari sana kwenye kupika maharage, huyo nnaweza kula, tatizo nnapenda nyama...mama yupo, i make sure hata mara 5 mpaka 10 kwa mwaka nnakula chakula chake kwakuwa tunaishi mbali ntaenda kwake tarehe 18, na nimemuambia nimemiss samaki perege wadogo wa nyumba ya mungu na ndizi za kukaanga asubuhi kaniambia nisijali, i cant wait to board that train
Wacha wee kumbe wapenda perege ee...safi
Juzi nilikuwa korongo,magadini nikamalizia nyumba ya mungu kupitia langasani mikocheni..nilikuwa na haraka kidogo so sikufaidi perege
 
Karibu
20201119_212018.jpg
 
Basi inabidi upate na mpishi mwingine mzuri sambamba na Auntie.

Glad to hear mama is still around.

Dah....why did you have to mention perege jamani 😢😢 Ukiacha ndizi za kukaanga....umewahi kula za kupikwa na perege wa kukaagwa wanawekwa juu ya ndizi dakika za mwisho kabla ya kuzi-serve??? Yohhhhh 😯😯 ni moto wa kuotea mbali 😋😋 Used to be one of my bibi's speciality 🙃🙃
Hiyo kitu nimekula juzi nilikuwa Kijijini...haki unapata ladha ya chakula kuliko kawaida 😋😋
 
Back
Top Bottom