Asante sana, nakumbuka mama alikuwa ananikatia na kachumbari ya nyanya, napenda mseto huu na wa choroko ila huwezi amini sipendi wali plain na maharageBasi karibu tule Wolf![]()
Yes yes yoh.Weka yoyote nikuone
Uchoyo huoBasi karibu tule Wolf![]()
Sura haujaiona apo?
Weka sura tuone
Whaaaat ??😳😳 😜😜 Na mie kawaida huwa natengeneza na kachumbari ila leo nimeshtukia nyanya ngumu hamna na muda umeshaenda. What a sweet mama though 🙂🙂...I hope bado yuko around na huwa anakupikia mara moja moja ukienda kumuona!!Asante sana, nakumbuka mama alikuwa ananikatia na kachumbari ya nyanya, napenda mseto huu na wa choroko ila huwezi amini sipendi wali plain na maharage
Bado zoezi la vitumbua





Binafsi namshangaa mtu anaesema anapenda wali maharage aise😅Whaaaat ??😳😳 😜😜 Na mie kawaida huwa natengeneza na kachumbari ila leo nimeshtukia nyanya ngumu hamna na muda umeshaenda. What a sweet mama though 🙂🙂...I hope bado yuko around na huwa anakupikia mara moja moja ukienda kumuona!!
Wa choroko nimewahi kula ila sio kupika....sikuupenda sana. Labda siku nijaribu kupika mwenyewe, pengine ntauelewa 😏😏
Alafu unaachaje kupenda wali maharage Wolf?? Au hujawahi pata mpishi mzuri wa kukushawishi???
HaionekaniSura haujaiona apo?
Naona huna hela yakula leo jirani.unataka ushibie kwa lizzy nishakuonaBado zoezi la vitumbua![]()
Naona huna hela yakula leo jirani.unataka ushibie kwa lizzy nishakuona
Kitumbua nakipendaUnaogopa kujambajambaBinafsi namshangaa mtu anaesema anapenda wali maharage aise![]()
Mtu chake we picha Rafik yangu.hata ya kile kimbwa chako kizuri lohUpo.wapi huu mgodi
Hapana jirani.wali haujawahi kunibariki kabisa.Unaogopa kujambajamba
Ushaanza mabalaa yako we mtu🤪🤪🤪![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kitumbua nakipenda
😁😁😁 ngoja nijifikirie kwanza maana sijawahi bado 🙈🙈Bado zoezi la vitumbua![]()