Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Whaaaat ?? Na mie kawaida huwa natengeneza na kachumbari ila leo nimeshtukia nyanya ngumu hamna na muda umeshaenda. What a sweet mama though ...I hope bado yuko around na huwa anakupikia mara moja moja ukienda kumuona!!

Wa choroko nimewahi kula ila sio kupika....sikuupenda sana. Labda siku nijaribu kupika mwenyewe, pengine ntauelewa

Alafu unaachaje kupenda wali maharage Wolf?? Au hujawahi pata mpishi mzuri wa kukushawishi???
Nina shangazi yangu hatari sana kwenye kupika maharage, huyo nnaweza kula, tatizo nnapenda nyama...mama yupo, i make sure hata mara 5 mpaka 10 kwa mwaka nnakula chakula chake kwakuwa tunaishi mbali ntaenda kwake tarehe 18, na nimemuambia nimemiss samaki perege wadogo wa nyumba ya mungu na ndizi za kukaanga asubuhi kaniambia nisijali, i cant wait to board that train
 
Whaaaat ?? Na mie kawaida huwa natengeneza na kachumbari ila leo nimeshtukia nyanya ngumu hamna na muda umeshaenda. What a sweet mama though ...I hope bado yuko around na huwa anakupikia mara moja moja ukienda kumuona!!

Wa choroko nimewahi kula ila sio kupika....sikuupenda sana. Labda siku nijaribu kupika mwenyewe, pengine ntauelewa

Alafu unaachaje kupenda wali maharage Wolf?? Au hujawahi pata mpishi mzuri wa kukushawishi???
Siku nitajitolea kukupikia huu mchongo, wewe na madogo...utawaambia tuu kuna kijana nimemuajiri atakuja leo kupika
 
Nina shangazi yangu hatari sana kwenye kupika maharage, huyo nnaweza kula, tatizo nnapenda nyama...mama yupo, i make sure hata mara 5 mpaka 10 kwa mwaka nnakula chakula chake kwakuwa tunaishi mbali ntaenda kwake tarehe 18, na nimemuambia nimemiss samaki perege wadogo wa nyumba ya mungu na ndizi za kukaanga asubuhi kaniambia nisijali, i cant wait to board that train
Basi inabidi upate na mpishi mwingine mzuri sambamba na Auntie.

Glad to hear mama is still around.

Dah....why did you have to mention perege jamani 😢😢 Ukiacha ndizi za kukaanga....umewahi kula za kupikwa na perege wa kukaagwa wanawekwa juu ya ndizi dakika za mwisho kabla ya kuzi-serve??? Yohhhhh 😯😯 ni moto wa kuotea mbali 😋😋 Used to be one of my bibi's speciality 🙃🙃
 
Back
Top Bottom