😆😆😆😆yani jirani nijikute tu 😆😆😆”eti jirani njoo huku”ulisikia wapi jirani yangu..ndo mwanzo wa kuanza mtafutano we tulia huko huko baba nitakuwa nakutumia salamu😁😁😁Nipo hapa niite uone
Lizy kama lizyciouz
yani jirani nijikute tu
”eti jirani njoo huku”ulisikia wapi jirani yangu..ndo mwanzo wa kuanza mtafutano we tulia huko huko baba nitakuwa nakutumia salamu
![]()
Usiogope we niite tu hutanogewa....😅😅😅😅😅yani swala amkaribishe Mr simba ndani..😆😆😆😆😆😆wewe ukiona wapi mheshimiwa..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Usiogope we niite tu hutanogewa....
Hahahahayani swala amkaribishe Mr simba ndani..
wewe ukiona wapi mheshimiwa..
😅😅😅Hahahaha
Yaani upewe tu bure?Hivi nani ajitokeze aniletee haya macho matatu bure kabisa kama rafiki yake wa kawaida kabisa 😅
yani swala amkaribishe Mr simba ndani..
wewe ukiona wapi mheshimiwa..
Hebu jaribu ili tuone sasa 


Hizi ni kababu za kihindi za pilipili au
Mhmh unapenda bure wewe jitume kwanza kuna matokeo mazuriHivi nani ajitokeze aniletee haya macho matatu bure kabisa kama rafiki yake wa kawaida kabisa![]()
Nitengeneze birthday ya uongo na kweli anipe hiyo kama zawadi tu😅😅.Yaani upewe tu bure?
Yaani ajitokeze mtu aseme ‘we Chakorii, chukua hii simu ya macho matatu. Chukua tu bure, nimekupa’?
😄
Nijikute najaribu petrol na kibiriti 😅😅jirani wewe![]()
![]()
![]()
Hebu jaribu ili tuone sasa
![]()
😅😅😅😅kweli jirani yangu hadi wewe unashindwa ninunulia kama jirani yako hilo apple la macho matatu kweli.kwa ujirani mzuri wa miaka mingi tulikuwa nao kweli!!Mhmh unapenda bure wewe jitume kwanza kuna matokeo mazuri
Sina madhara mimiNijikute najaribu petrol na kibiritijirani wewe
Shida unamtaka sungura aliekimbilia shimoni bila kuinama na kumvutakweli jirani yangu hadi wewe unashindwa ninunulia kama jirani yako hilo apple la macho matatu kweli.kwa ujirani mzuri wa miaka mingi tulikuwa nao kweli!!
Haki siamini![]()



Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....Sina madhara mimi
Jirani nitakupiga chini sasa hivi .sitakagi mafumbo mimi😅😅Shida unamtaka sungura aliekimbilia shimoni bila kuinama na kumvuta![]()
Sema suu jirani 😅![]()
Sema suuu