Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Kwamba huyo ndiyo SHIMBA YA BUYENZE ??Nipo huku huku Nyakabindi sijaondoka. Nimeona mnaongelea twins nami nikadandia tu hata sielewi yaani. Karibu chakula ...
View attachment 1623445
Kwamba huyo ndiyo SHIMBA YA BUYENZE ??Nipo huku huku Nyakabindi sijaondoka. Nimeona mnaongelea twins nami nikadandia tu hata sielewi yaani. Karibu chakula ...
View attachment 1623445
Mwenyewe orijino. Mkulima mashuhuri wa nyanya na dengu huku mabondeni...
Mmmh!!! Tangu lini?Mwenyewe orijino. Mkulima mashuhuri wa nyanya na dengu huku mabondeni...
Ujikute!
Siwezi kuwabeba tu ila kuwalea naweza.Kitabu njoo Chukua.. Twins nikikupa utawarudisha mwenyewe.. Huwawezi
Sent using Jamii Forums mobile app
We omba tu nipate helaOooooh!!!!kweli? Kw hiyo Twins hutaki tena? Nibadili mwelekeo wa maombi?
Sent using Jamii Forums mobile app


Sawa Mdogo wanguWe omba tu nipate hela![]()
Lizzy. You deserve some kudos. You tried...Utakuwa angalau umeongeza kakilo japo kamoja na naamini sasa usharudi tena kwenye maisha yako ya tonge moja na kushindia kipande cha embe au chai kavu. Maisha ya umodo kazi sana wallahi. I salute you !!!
Kuna siku hiyo laptop nayo itasema "the best time to have tea is whenever you want tea". We subiri tuThe best time to have tea, is whenever you want tea. Karibuni wadauView attachment 1623461



Ha ha, itasababisha matatizoKuna siku hiyo laptop nayo itasema "the best time to have tea is whenever you want tea". We subiri tu![]()
Be super super careful. Nilishaua laptop karibu mbili kwa uzembe huo.Ha ha, itasababisha matatizo
Asante kwa ku-acknowledge juhudi zangu Shimba. Once a week huwa nakula hovyo kidogo🙂🙂Lizzy. You deserve some kudos. You tried...Utakuwa angalau umeongeza kakilo japo kamoja na naamini sasa usharudi tena kwenye maisha yako ya tonge moja na kushindia kipande cha embe au chai kavu. Maisha ya umodo kazi sana wallahi. I salute you !!!
Poaz Clkey!Mamboziiiiiii