ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,420
- 118,937
Naona unaanza kukumbuka, na kingine ila nimesahau.






yaani kila nikisoma najikuta nacheka tu..Weeeeeeewe...Sasa unaonaje hawa ukanipa mimi then wewe ukabeba wengine?
Lakini usiku si tutalala wote tu?Si nimekununia lakini?
Hivi kwenu ulisema hamna vinasaba vya mapacha babe??Sasa unaonaje hawa ukanipa mimi then wewe ukabeba wengine?
Si Vipo kwa Dadake Shem??Hivi kwenu ulisema hamna vinasaba vya mapacha babe??


We mlo wako wadudu na matunda halafu unataka twins, endelea kuwaota hivyo hivyo.
nakuja mbioo siwezi ipoteza fursa hii mkuu
Basi turahisishe, we nipe kitabu na hawa twins wangu utakuwa ushanilipa.yaani kila nikisoma najikuta nacheka tu..
Hebu niambie kingine ni nini tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maombi unaonaje ukayabadilisha uniombee nipate mahela mengi my lovely sister?Weeeeeeewe...
Nawaweka kwenye maombi na Shem wangu Eli79 Mungu awepatie.. Mlee muone mziki wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sirudi nyumbani hadi next week.Lakini usiku si tutalala wote tu?
Nipo huku huku Nyakabindi sijaondoka. Nimeona mnaongelea twins nami nikadandia tu hata sielewi yaani. Karibu chakula ...
Unaona wenzio wanavyokula sasa?Nipo huku huku Nyakabindi sijaondoka. Nimeona mnaongelea twins nami nikadandia tu hata sielewi yaani. Karibu chakula ...
View attachment 1623445
Mi nakula ugali kila siku. Hao wadudu na matunda ni vitafunwa tuWe mlo wako wadudu na matunda halafu unataka twins, endelea kuwaota hivyo hivyo.






Kitabu njoo Chukua.. Twins nikikupa utawarudisha mwenyewe.. HuwaweziBasi turahisishe, we nipe kitabu na hawa twins wangu utakuwa ushanilipa.

Oooooh!!!!kweli? Kw hiyo Twins hutaki tena? Nibadili mwelekeo wa maombi?Hayo maombi unaonaje ukayabadilisha uniombee nipate mahela mengi my lovely sister?