Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukishangaa ya introverts hujayaona ya Karma. Nimepitia exchange zako hadi nimehisi kukuogopa.. Tukasalini jamani, Mungu ana viumbe wake sio wa kawaida aisee..
Huyu dogo ni mtu poa sana,sijui kwanini imetokea nimemkubali sana hivi

Mimi nimemuelewa vizuri sana..
Tena maisha anayoishi ni mazuri sana kuliko akina sisi tunaojenga imani na matarajio makubwa kwa ndugu marafiki na jamaa mwisho wa siku tunaishia kuumia pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo..

Ila sema kila kitu kina faida na hasara.
Kuna siku hatamuamini mtu ambaye kweli anampenda kwa dhati.. binadamu wote si sawa.
 
Ukikua utaacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…