Dah! Dota huenda mimi na mama yako tulikosea katika malezi au niaje? Hutaki kupendwa? Duniani humu kuna kitu kinaleta raha kama kupenda na kupendwa!!!Afadhali na wewe umenielewa
Kama unaweza kuwa hivyo nakushauri we kuwa tu hivyo itakusaidia sana na kukufanya uwe na furaha muda mwingi
Nimeikuta hii mahaliNi kweli kabisa.
Matarajio makubwa yanaleta maumivu tu.
Ni bora uwe hivyo kuliko kuamini sana watu.
Na mimi taratibu nataka nijifunze kuwa hivyo.
Dah! Dota huenda mimi na mama yako tulikosea katika malezi au niaje? Hutaki kupendwa? Duniani humu kuna kitu kinaleta raha kama kupenda na kupendwa!!!
Kweli kabisaAfadhali na wewe umenielewa
Kama unaweza kuwa hivyo nakushauri we kuwa tu hivyo itakusaidia sana na kukufanya uwe na furaha muda mwingi
Kuna watu huwa tunajua kupenda ila hatujui kupendwa na hili ndiyo kwa asilimia kubwa linafanya wengine tuogope kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Kwa sababu mtu akijua unampenda kuliko yeye anavyokupenda atakunyanyasa hadi ujute na ndiyo chanzo cha mahusiano mengi kufa sasa ya nini yote hayo
Unajipa moyo kuwa unapendwa kumbe haupendwi halafu ukijua unaanza kuumia wakati ungelijua hilo mapema wala usingeumia
Moyo wa mtu kichaka
Nimepata somo hapa, tanxieeehAfadhali na wewe umenielewa
Kama unaweza kuwa hivyo nakushauri we kuwa tu hivyo itakusaidia sana na kukufanya uwe na furaha muda mwingi
Kuna watu huwa tunajua kupenda ila hatujui kupendwa na hili ndiyo kwa asilimia kubwa linafanya wengine tuogope kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Kwa sababu mtu akijua unampenda kuliko yeye anavyokupenda atakunyanyasa hadi ujute na ndiyo chanzo cha mahusiano mengi kufa sasa ya nini yote hayo
Unajipa moyo kuwa unapendwa kumbe haupendwi halafu ukijua unaanza kuumia wakati ungelijua hilo mapema wala usingeumia
Moyo wa mtu kichaka
Umenena best tena kwa herufi kubwa lol.Kweli kabisa
Si kwenye uhusiano wa kimapenzi tu!
Hata urafiki wa kawaida...unamuamini rafiki yaani unamuamini mno na unamchukulia kama rafiki katika mambo yote, sometimes unamuona ndugu yako.
Kumbe mwenzio hakuchukulii hivyo kwa kiwango ulivyomuamini yeye..
Kwahiyo kama ni kumuamini muamini tu ila usiwe na matarajio hayohayo kwamba naye anakuchukulia hivyo.
Hii umenifundisha Leo
Yes exactly wewe umenielewa! Hii dunia ukitaka uishi kwa furaha jifunze kupenda bila kutarajia kupendwa pia yaani jiwekee kwamba you deserve no one's love under the sun!Kweli kabisa
Si kwenye uhusiano wa kimapenzi tu!
Hata urafiki wa kawaida...unamuamini rafiki yaani unamuamini mno na unamchukulia kama rafiki katika mambo yote, sometimes unamuona ndugu yako.
Kumbe mwenzio hakuchukulii hivyo kwa kiwango ulivyomuamini yeye..
Kwahiyo kama ni kumuamini muamini tu ila usiwe na matarajio hayohayo kwamba naye anakuchukulia hivyo.
Hii umenifundisha Leo
We dogo ulipotelea wapi?Umenena best tena kwa herufi kubwa lol.
Shida ni matarajio makubwa kutoka kwaoYes exactly wewe umenielewa! Hii dunia ukitaka uishi kwa furaha jifunze kupenda bila kutarajia kupendwa pia yaani jiwekee kwamba you deserve no one's love under the sun!
Ila unajua nini mie nikipendaga watu hata huwa sijali kama watanipenda pia au la na wao kunipenda au kutokunipenda kwao haipunguzi upendo wangu kwao! Mie upendo wangu kwao uko pale pale kwa sababu upendo sicho kitu ninachokitegemea kutoka kwa watu na ukiangalia wao kutokunipenda siyo kosa lao sababu upendo haulazimishwi!
So take that from me but remember hiyo isikufanye uache kupenda watu! We wapende tu kadri ya uwezo wako wote hadi pale upendo wako utakapoishia but never expect anything from them utaumia vibaya mno!
Maana kuna ile hali unajikuta unajisikia tu raha kuwapenda watu fulani haijalishi kama wao wanakupenda au wanakuchukia! Ila kitendo tu cha wewe kuwapenda kinakupa raha isiyo kifani hadi ukikaa unasema daah hawa kweli nawapenda!
Hapana ampe Ruttashobolwa
Kwakweli.Tumeshindikana na nini, watoto wapole sisi