The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,445
- 20,809
Karibu yangu ya jioni, substitute ya konyagi, hapa mpaka mda huu ningekuwa nimeshawaka kitambo
Karibu yangu ya jioni, substitute ya konyagi, hapa mpaka mda huu ningekuwa nimeshawaka kitambo
Cha kupasha tumbo moto 😄🙈🙈🙈
He has the right to be mad at you for sure
Kachai gani hako jamani
🤣🤣🤣🤣 eti ungekuwa umeshawaka.Karibu yangu ya jioni, substitute ya konyagi, hapa mpaka mda huu ningekuwa nimeshawaka kitambo View attachment 1620895
kweli, ningekuwa nimeshawaka mapema, wanasema hata kama unaipenda sana usiache ikutawale...sijaacha lakini nakumbuka ofa yangu iko pale pale 😂🤣🤣🤣🤣 eti ungekuwa umeshawaka.
Safi sana kama unaweza substitute tea for liquor basi uko vizuri sana 👊👊👊
Yeahh...that's how it should be!!!👊👊👊kweli, ningekuwa nimeshawaka mapema, wanasema hata kama unaipenda sana usiache ikutawale...sijaacha lakini nakumbuka ofa yangu iko pale pale 😂
Ha ha exactlyYeahh...that's how it should be!!!
Umeona unikumbushe nisije nikajidai na chai masala sio???![]()


Yaani niko hivi mtu akinipenda ni yeye mwenyewe ila mie sihitaji kupendwa
Yaani huwa naona mtu anipende au asinipende kwangu mie ni sawa tu
Na hata siku moja huwa siamini mtu akiniambia ananipenda yaani tangu mdogo niko hivyo sijui kwanini
Mie huwa naona kawaida ila kuna watu wengine huniambia hii siyo hali ya kawaida maana eti hakuna mtu asiyehitaji kupendwa
Itapikie kwanguHivi kumbe ile hela uliyonipa ndiyo ilikuwa nauli yake? Sasa mbona haukuniachia maagizo mwenzio nimeila yote?
Sasa mimi kosa langu nini jamani![]()
Yaani niko hivi mtu akinipenda ni yeye mwenyewe ila mie sihitaji kupendwa
Yaani huwa naona mtu anipende au asinipende kwangu mie ni sawa tu
Na hata siku moja huwa siamini mtu akiniambia ananipenda yaani tangu mdogo niko hivyo sijui kwanini
Mie huwa naona kawaida ila kuna watu wengine huniambia hii siyo hali ya kawaida maana eti hakuna mtu asiyehitaji kupendwa








Jiandae kutapika.![]()
Mtumie nyengine
Mimi naonewa jamani![]()
Haki ujinga ndiyo wenye hutawahi acha

Swali zuri.Mahusiano na wazazi yalikuwaje ukiwa mtoto?
Kama ni SHIMBA YA BUYENZE basi ujue alikuwa anakujaza tu, ana jambo lake.Dadako nimezidi upole.. Maneno ya Wajumbe lakini..
Huyo hata asikusumbue, bangi tu zinamsumbua.
Itabidi tuongee chemba..
Nami mniite kwa sababu nami nina langu jambo
Itabidi tuongee chemba..


