Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeamua kukaa kimya tu na kusubiri wikendi. Wikendi nayo ikibuma naona na uzi huu nitahama kabisa. Imagine pengine hii chai ya mchana tayari ndo lunch yenyewe na si ajabu hata breakfast hakula. Mtu unakula brunch ya hivi. Hata ukiambiwa uishi kweli utawezana?
Shimbaa matunda nakula sana throughout the day kwahiyo usinimaind sana jamani 😔😔
 
Weeeee....Labda wengine..
Mimi huniambii hivyo wewe.. kupendwa utapendwa tu.
Yaani niko hivi mtu akinipenda ni yeye mwenyewe ila mie sihitaji kupendwa
Yaani huwa naona mtu anipende au asinipende kwangu mie ni sawa tu

Na hata siku moja huwa siamini mtu akiniambia ananipenda yaani tangu mdogo niko hivyo sijui kwanini
Mie huwa naona kawaida ila kuna watu wengine huniambia hii siyo hali ya kawaida maana eti hakuna mtu asiyehitaji kupendwa
 
Nimeamua kukaa kimya tu na kusubiri wikendi. Wikendi nayo ikibuma naona na uzi huu nitahama kabisa. Imagine pengine hii chai ya mchana tayari ndo lunch yenyewe na si ajabu hata breakfast hakula. Mtu unakula brunch ya hivi. Hata ukiambiwa uishi kweli utawezana?

Analeta masihara huyu ngoja tusubiri hiyo wikiendi
 

JamiiForums580904873.jpg
 
Back
Top Bottom