Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜€πŸ˜€ dah watu wana matumizi mabaya na hasira.. Ana akili ya kitoto
 
Asante mwaya...sasa hivi niko kwenye "rait track" ila bado sijaridhika 100%

Kamwili kadogo kananoga bana....hata kwenye maswala ya nguo unakuwa na option zaidi. Hazikukatai na ukitoka watu hawakushangai πŸ™„πŸ™„ Fanya mpango ufikie your ideal body size.πŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Daah ningekuwa na mwili kama huo haki ningekuwa nakula hadi kufuru! Ila mimi unene ni asili tu ya kwetu hivyo huwa naambiwa hata nifanyaje sitakaa nipungue kama ninavyotaka bali nitapungua kidogo sana na huwa naambiwa hata nikitaka kupungua kama ninavyotaka mimi nitatisha sitapendeza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…