Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,566
- 235,386
Mimi siyo CCM ila magufuli nampenda.Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!
Japo ninyi wenyewe mnaosema hivyo mnaweza msilijue hilo lakini huo ndiyo ukweli! Tunaposema haya tunaonekana tunaropoka tu lakini time will tell!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, kumbe unatamani kuwa mnene.Kweli dunia haiko fair.
Njoo tubadilishane.
Mie sina undugu nao kabisa.Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ubwabwa umwachie nani?
Oohh okay
Sister unaona wivu? Inabidi tukutafutie msukuma mmoja mshamba mshamba kama SHIMBA YA BUYENZEWatu na Watu wao...
Tule mwanangu, tutapungua mbinguni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani napenda sana ubwabwa ila mwili unazingua sana aise
Haya mama! Mimi kwa kweli hamna kiongozi wa CCM ninayempenda!Mimi siyo CCM ila magufuli nampenda.
Mimi siyo CCM na simpendi Gwajima.
Mimi siyo Chadema ila nampenda sana Sugu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mama! Mimi kwa kweli hamna kiongozi wa CCM ninayempenda!
Mambo madogo hayo ukikuta ni mtu back ila kwa mkeo lazima uta mind otherwise uwe umetoka familia za kizungu.Hebu acheni mambo ya ajabu jamani, mbona mambo madogo tu hayo.
Cha upepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, kumbe unatamani kuwa mnene.
Nina rafiki yangu huyo ni mfupiii halafu mwembambaaa huwa tunamuita "cha upepo" (you can imagine how skinny she is) lakini eti kuliko kuwa mnene naona bora niwe kama huyo. Namuonea wivu she can eat anything at anytime na hanenepi ila sisi wengine sasa woii mie napenda sana kula ila mwili ndiyo unanifelisha maana nikila kidogo tu nafutuka kama nini sijui! [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Hiyo ndio heshima yake boss mbali na hapo unakua ujajitendea wala hujautendea haki [emoji23]Umejuaje nilikuwa tumbo wazi [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok poa mbegu tafuta aina ya decalb au nazo huna [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] Na afadhali iwe hivyo maana sio poa kabisaWale jamaa hawana nguvu za kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie sina undugu nao kabisa.
😀😀 hongera kwa kumpoteza rafiki muhafidhinaCha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tule mwanangu, tutapungua mbinguni.
Mwishowe utasema nikuletee na wafanyakazi , mbegu I'm not sure pale kilimo uyole b mkubwa anachukuaga zile nzuri nitauliza miundombinu ikoje maana wanajigawaniaga tu [emoji3][emoji3]Mali za CCM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kunipa nazo?
Akhsante
Ila hata usiponipa nitatafuta
Shida ni pale watu hadi wanazichapa[emoji23][emoji23][emoji23]Lakini mnajua nini! At the end of the day kila mtu ana haki na uhuru wa kusupport chama chochote anachokitaka na kiongozi yeyote anayemtaka haya mambo wala siyo ya kulazimishana wala kuleta uadui kati yetu bali huwa tunaeleweshana tu ili tujue ni wapi nchi yetu inakoelekea!
We acha tu! Yaani unene unatufanya tushindwe kufaidi vitu vizuri!Cha upepo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje[emoji848]
Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita[emoji16]