Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi siyo CCM ila magufuli nampenda.
Mimi siyo CCM na simpendi Gwajima.

Mimi siyo Chadema ila nampenda sana Sugu.
 
Kweli dunia haiko fair.
Njoo tubadilishane.
haki nimecheka, kumbe unatamani kuwa mnene.

Nina rafiki yangu huyo ni mfupiii halafu mwembambaaa huwa tunamuita "cha upepo" (you can imagine how skinny she is) lakini eti kuliko kuwa mnene naona bora niwe kama huyo. Namuonea wivu she can eat anything at anytime na hanenepi ila sisi wengine sasa woii mie napenda sana kula ila mwili ndiyo unanifelisha maana nikila kidogo tu nafutuka kama nini sijui!
 
Mie sina undugu nao kabisa.
 
Cha upepo

Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje


Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita
 
😀😀 hongera kwa kumpoteza rafiki muhafidhina
 
Shida ni pale watu hadi wanazichapa

Haki Kuna watu Wana matumizi mabovu ya nguvu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…