Selfika na JF: Snap it. Show it

Hana lolote huyu..
Kama juzi kati kuna member kaleta uzi wake( nimemsahau jina) akaanza kutaja member wa humu..Saa ngapi hajanitaja mimi eti na Unyakyusa wangu.. Nilichekaa..
Nikataka nikutag uje ujioneee..
Halafu mnaulizana makabila ya nini? Mnataka kutambika? (In Mwl. Nyerere's voice)

We Makiseo kwani kabila gani? Isije ikawa ni dadangu kabisa wa Nyakabindi unanisanifu tu hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…