Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
NitakaribiaaaKaribu kwangu mkali wa maspata sapta mwezi tu unakua tukunyema
NitakaribiaaaKaribu kwangu mkali wa maspata sapta mwezi tu unakua tukunyema
Hujatoa jibu natoka online sasa hivi.
Uwezo ni 10 kwa wanyange 3... Yaani kila mmoja mwekundu loh...





😛😛Jamani ofa mwisho saa tisa... Kumi kwa kila mmoja... Jumla watatu..
Uwezo ni 10 kwa wanyange 3... Yaani kila mmoja mwekundu loh...
.... Ila na mamende na mafisi mewaweza pia... Bila kuwasahau wasema hovyo...
![]()
Hizo picha wanazitupia muda gani,maana kila nikiingia kwenye huu uzi nakuta patupu!?
Nani aliongea maneno za uzushi namna hiyo
Kitambi kipo kinabanwabanwa ili picha itoke vizuri mamaa.Ahsanteeeeeee Huna tumbo dada hongera.


Mwili Kama wa dada angu..![]()
Hii ni weekdays imagine, w.end sasa ndo tutakimbizana na notifications 1000,
Washaacha kusema sahii wako kimyaaaa!!
Kitambi kipo kinabanwabanwa ili picha itoke vizuri mamaa.
![]()