Wala hata, mie tangu zamani nilitamani nilirudie hili ila mods walishanikatalia nikawa sina chance ya kubadili tena.
Ila walivyotupa access ya kujibadilishia jina ndiyo kama wakawa wamempa kichaa rungu, yaani hata sikuchelewesha siku hiyo hiyo nikabadilisha.
Mdogo wako sijui ni nani aliyefanikiwa kumshawishi alirudie hilo jina nampa hongera huyo mtu, maana wengine tulibembeleza tukaambiwa hilo jina halirudi ng'oo.
Ila mie nimefurahi tu limerudi, maana nalipenda utafikiri langu.