Hahahahahahahaha bro mbona haikufika hata saa nane njaa ilinikamata nikapiga ugali mwingiBrunch? Siku ile ulipounganisha samaki kwa kufuatana nilikuelewa sana...pyua kimkoani koani yaani. Mambo ya brunch legelege hizi achia wanaume wa Dar vinginevyo kesho gunia la mahindi likitaka kudondoka kwenye semi trela utashindwa hata kulidaka. Piga misosi ya kueleweka bro![]()
Hapo tumeelewana sasaHahahahahahahaha bro mbona haikufika hata saa nane njaa ilinikamata nikapiga ugali mwingi



Umejeuka nyuma mama, unatunyosha mama
Vizuri sana mguu wa bia my dearNawatakia j2 njemaaaaaaView attachment 1611426
Sorry are you a man or a woman?Weekends are for home relaxation and information processing.View attachment 1610509
Sawa mkuu pole 😔Taratibu jamani![]()
Hata mimi mwenyewe sijui Kwanini umeutamani mkuusijui kwanini nimeutamani huu mguu![]()
🤪🤪 Shimba naomba niione picha yako tafwazali.Hia wi goooooo
Guuuu jamani guuuuuu![]()
Hamjapewa penseli za kuchorea huko kwenye seminar
Hahaha....hapana hatujapewa...tumepewa hela nyingi munoHamjapewa penseli za kuchorea huko kwenye seminar
